Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wapendwa Makapuku naamini Mungu amewaamsha salama sifa, utukufu ,heshima na shukurani ni kwake aliye juu,haijalishi unapitia changamoto gani namwomba Mungu aingilie kati ,wanaogua na kuuguza Mungu awaponye ,wanaotafuta kazi na riziki Mungu awasaidie mpate kazi na riziki maisha yawe ya amani na upendo ...nawatakia siku njema yenye baraka na amani ...Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom