Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Lala bwana muda huu wakubwa ndio wapo macho.Utahangaika sana mwaka huu
BTW nimerithi nafasi yako kisheti
Lala bwana muda huu wakubwa ndio wapo macho.Utahangaika sana mwaka huu
Hahaaaa ngoja tuanze kusakaLala bwana muda huu wakubwa ndio wapo macho.
BTW nimerithi nafasi yako kisheti
Hahahaaa! Msaidie mdogo wako baasiUtahangaika sana mwaka huu
Ushalala dogo..!Lala bwana muda huu wakubwa ndio wapo macho.
BTW nimerithi nafasi yako kisheti
Yeye mwenyewe komandoHahahaaa! Msaidie mdogi wako baasi
Kesho nikipata time tumpeleke mmu... kisiwa cha mabinti..Yeye mwenyewe komando
Sema ana reli badala ya nyota


Mondray fanya mchakato


Kweli inabidi tumpeleke.Kesho nikipata time tumpeleke mmu... kisiwa cha mabinti..![]()
Anapokea wageni tuu..Kweli inabidi tumpeleke.
Maana yy hua anakaa hapa hapa akiwasubir


Leo kanifurahisha aiseee.Anapokea wageni tuu..
Mara akiwapokea anakuta ni dume kama werrason..
Hahahh! Mimi nikiona avatar nacheka tuuu...Leo kanifurahisha aiseee.
Ailikua anamsaundisha madame S daah ngachoka.
Sound za enzi za wakina charlie chaplin
MornieMondray ngoja nilale mkuu...
Naona sakayo ananyosha-nyosha mkono huku kitandani kunitafuta...
Wacha nim-comfort kwanza..!
Mornie shem, hope you are OKNipo macho mida ya wanga ...
Ila sory kapuku sitoweza kuleta magazeti alfajir kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu ila shaka ondoa na mwenye kusaidia afanye hivo ..
Shunie take care na mashemeji zako![]()
![]()
![]()
Goodmorning sir Werrason have a Blessed dayGoodmorning guyz![]()
Kazi njemaNgoja tuzame kitaa kwanza, b'dae
UbarikiweMlale unono wapendwa