Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo Katika Historia:

1871 - Otto Von Bismarck anachaguliwa kuwa Kansela wa Ujerumani.

Kansela huyu baadae anakuja kuitisha kikao cha Berlin ambacho Mataifa makubwa yanakutana kwa ajili ya kuligawa bara la Afrika.
068ae6c992e27e58d6b3f455f6ad2e56.jpg
462c41bca14bfac892fe39823c7f12c5.jpg
0eb518223009aa07adf9820c0674a964.jpg

Divide and rule
...
 
1961 - Lothar Matthaus anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.

Alikuwa kepteni wakati Ujerumani inatwaa ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 1990 pale Italia kwa kuifunga Argentina ya Diego Armando Maradona.

Ndio Mjerumani pekee mpaka sasa kushinda tuzo ya Mchezaji bora wa Dunia.

Ndio mchezaji aliyecheza mechi nyingi zaidi kwenye timu ya taifa ya Nchi hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom