Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,243
Leo Katika Historia:
1871 - Otto Von Bismarck anachaguliwa kuwa Kansela wa Ujerumani.
Kansela huyu baadae anakuja kuitisha kikao cha Berlin ambacho Mataifa makubwa yanakutana kwa ajili ya kuligawa bara la Afrika.
1871 - Otto Von Bismarck anachaguliwa kuwa Kansela wa Ujerumani.
Kansela huyu baadae anakuja kuitisha kikao cha Berlin ambacho Mataifa makubwa yanakutana kwa ajili ya kuligawa bara la Afrika.








