Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Leo Katika Historia:
1871 - Otto Von Bismarck anachaguliwa kuwa Kansela wa Ujerumani.
Kansela huyu baadae anakuja kuitisha kikao cha Berlin ambacho Mataifa makubwa yanakutana kwa ajili ya kuligawa bara la Afrika.
1871 - Mpelelezi Henry Morton Stanley anaanza kazi yake kumtafuta mpelelezi David Livingstone aliyepotea barani Africa.
David Livingstone alikuja kupatikana Zambia akiwa amefariki kwa ugonjwa wa Malaria.
1943 - Rudolf von Gersdoff anajaribu kumuua Adolf Hitler kwa bomu katika ukumbi.
Hitler anawahi kuondoka katika ukumbi huo kabla ya muda uliopangwa na hiyo inakuwa ndio pona yake.
Katika utawala Adolf Hitler amenusurika majaribio 26 ya kuuwawa.
1960 - Sharpeville Massacre: Polisi wa kikaburu wanawaua Waafrika Kusini weusi 69 na kujeruhi wengine 180 baada ya Waafrika hao kuandamana katika mji wa Sharpeville.
morning mukongoGoodmorning guyz
thanks babe n u too, love yuuuuuuuuuuNipo macho mida ya wanga ...
Ila sory kapuku sitoweza kuleta magazeti alfajir kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu ila shaka ondoa na mwenye kusaidia afanye hivo ..
Shunie take care na mashemeji zako
Daah!!! Mmefanikiwa kunasa kifaa cha maana!!!Kwa Transcend tena mumeo ndo kanambia
1965 - Dr. Martin Luther King Jr anaongoza maandamano ya Watu 3200 ya kudai haki za binadamu hasa weusi huko Alabama.
Naomba lidondoshe tuAaah! Ukijitamba sasa nitadondosha bomu la nyuklia sasa hivi..!