Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
Hiv mnaongeleaga nini humu?
JE WAJUA??
Google huajiri mbuzi 200 kila mara ili zile majani yaliyo kwenye mbuga za kiwanja ili kutoa nyasi

Acha kuvuta gundiBora sisi tupo singo hatuna shida na mtu

Etieeh!!!mukongo nataka kujua tu hii si je wajua

atakujibu mwenyewe namuheshimu lee wangu siwezi ongea

MmmhJE WAJUA? ?
Mpaka mwaka 1975, ilikua ni haramu/kosa kuingia mji wa Chicago kama una sura mbaya
NdioMmmh

Nafurahi kusikia hivyoNimerudi kwa ajili yako
kwahiyo ukiwa na sura mbaya unarudishwaNdio![]()
.....unauliza majani nyikani!!!kwahiyo ukiwa na sura mbaya unarudishwa
kama yako pia unarudishwa.....unauliza majani nyikani!!!
ayakama yako pia unarudishwa

Daima binadamu husema kilichojaa moyoni mwake lakini Mungu anamajibu :
Mithali 16:1-.maandalizi ya moyo ni ya mwanadamu ,na jibu la ulimi hutoka kwa Mungu....2 Matendo ya mwanadamu huonekana kuwa sawa machoni pake lakini Mwenyezi Mungu hupima nia ya mtu.....4 Mwenyezi-Mungu ameumba kila kitu kwa kusudi lake ,hata waovu kwa ajili ya siku ya maangamizi..
PROVERB 16:1-2The preparation of the heart belongs to man But the answer of the tongue is from the LORD....
Tulibaki wawili muda ule