Makapuku Forum

Makapuku Forum

8ef2f8c8ebdaeaa11b26fadefd7597d8.jpg


Kauli ya namba moja Tanzania...Watanzania tumejikita sana kwenye Maswala ya umbea, ambayo hayatupunguzii njaa, hayatupunguzii umaskini, hayatupunguzii matatizo ya elimu.

Mnajisumbua na vipost vyenu, kana kwamba mnanipangia mimi, mimi sipangiwi tena ukinipangia ndio kabisa naacha, mimi ndio Rais hakuna wa kunipangia cha kufanya, nilipoenda kuchukua form hakuna alienipangia

Hakuna wakunipangia nani nimuweke wapi, mimi ndo napanga fulani anakaa wapi, kwahiyo "Makonda" wewe chapa kazi,Chaps kaziii na hapa kazi tu... achana na hayo yanayosemwa kwenye mitandao ww piga kazi tu... Hapa kazi tu! Hakuna wa kunionyesha mimi njia ya kupita, chama changu cha CCM kilishanionyesha njia!

Rais JPM jumatatu Machi 20.2017
 
8ef2f8c8ebdaeaa11b26fadefd7597d8.jpg


Kauli ya namba moja Tanzania...Watanzania tumejikita sana kwenye Maswala ya umbea, ambayo hayatupunguzii njaa, hayatupunguzii umaskini, hayatupunguzii matatizo ya elimu.

Mnajisumbua na vipost vyenu, kana kwamba mnanipangia mimi, mimi sipangiwi tena ukinipangia ndio kabisa naacha, mimi ndio Rais hakuna wa kunipangia cha kufanya, nilipoenda kuchukua form hakuna alienipangia

Hakuna wakunipangia nani nimuweke wapi, mimi ndo napanga fulani anakaa wapi, kwahiyo "Makonda" wewe chapa kazi,Chaps kaziii na hapa kazi tu... achana na hayo yanayosemwa kwenye mitandao ww piga kazi tu... Hapa kazi tu! Hakuna wa kunionyesha mimi njia ya kupita, chama changu cha CCM kilishanionyesha njia!

Rais JPM jumatatu Machi 20.2017
Najutia kura yangu mie bora ningempa hashimu rungwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom