Makapuku Forum

Makapuku Forum

8ef2f8c8ebdaeaa11b26fadefd7597d8.jpg


Kauli ya namba moja Tanzania...Watanzania tumejikita sana kwenye Maswala ya umbea, ambayo hayatupunguzii njaa, hayatupunguzii umaskini, hayatupunguzii matatizo ya elimu.

Mnajisumbua na vipost vyenu, kana kwamba mnanipangia mimi, mimi sipangiwi tena ukinipangia ndio kabisa naacha, mimi ndio Rais hakuna wa kunipangia cha kufanya, nilipoenda kuchukua form hakuna alienipangia

Hakuna wakunipangia nani nimuweke wapi, mimi ndo napanga fulani anakaa wapi, kwahiyo "Makonda" wewe chapa kazi,Chaps kaziii na hapa kazi tu... achana na hayo yanayosemwa kwenye mitandao ww piga kazi tu... Hapa kazi tu! Hakuna wa kunionyesha mimi njia ya kupita, chama changu cha CCM kilishanionyesha njia!

Rais JPM jumatatu Machi 20.2017
Time will tell
 
1984 - Fernando Torres anazaliwa.

Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Chelsea, Ac Milan, timu ya taifa ya Spain na kwasasa Atletico Madrid.

Ni zao la akademi ya klabu ya Atletico Madrid.

Akiwa Liverpool alikuwa ni mmoja kati ya washambuliaji bora waliotikisa EPL na kumpa wakati mgumu beki kisiki wa Man Utd Nemanja Vidic wa kumkaba pindi wanapokutana.

Torres ameshinda kila taji isipokuwa taji la ligi tu, katika timu zote alizochezea hakuwahi kushinda ubingwa wa ligi na timu aliyoichezea.

Ametwaa, Kombe la Dunia 2010 pamoja na Ubingwa wa Ulaya kwa timu za Taifa mwaka 2008 na 2012 akiwa na kizazi cha dhahabu cha Spain.
Uefa Europa League, Uefa Champions League, Kombe la FA akiwa na Chelsea.

Kwangu mimi, Torres ni mmoja kati ya washambuliaji mahiri kuwahi kuwashuhudia katika EPL, namkubali sana.

Uhamisho wake kwenda Chelsea ni moja kati ya sajili mbovu kuwahi kufanywa Uingereza kwani Torres alichemsha vibaya sana akiwa Chelsea.
 
1984 - Fernando Torres anazaliwa.

Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Chelsea, Ac Milan, timu ya taifa ya Spain na kwasasa Atletico Madrid.

Ni zao la akademi ya klabu ya Atletico Madrid.

Akiwa Liverpool alikuwa ni mmoja kati ya washambuliaji bora waliotikisa EPL na kumpa wakati mgumu beki kisiki wa Man Utd Nemanja Vidic wa kumkaba pindi wanapokutana.

Torres ameshinda kila taji isipokuwa taji la ligi tu, katika timu zote alizochezea hakuwahi kushinda ubingwa wa ligi na timu aliyoichezea.

Ametwaa, Kombe la Dunia 2010 pamoja na Ubingwa wa Ulaya kwa timu za Taifa mwaka 2008 na 2012 akiwa na kizazi cha dhahabu cha Spain.
Uefa Europa League, Uefa Champions League, Kombe la FA akiwa na Chelsea.

Kwangu mimi, Torres ni mmoja kati ya washambuliaji mahiri kuwahi kuwashuhudia katika EPL, namkubali sana.

Uhamisho wake kwenda Chelsea ni moja kati ya sajili mbovu kuwahi kufanywa Uingereza kwani Torres alichemsha vibaya sana akiwa Chelsea.
Inasemekana lakini kwamba Didier alimfanyia uswahili
 
1984 - Fernando Torres anazaliwa.

Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Chelsea, Ac Milan, timu ya taifa ya Spain na kwasasa Atletico Madrid.

Ni zao la akademi ya klabu ya Atletico Madrid.

Akiwa Liverpool alikuwa ni mmoja kati ya washambuliaji bora waliotikisa EPL na kumpa wakati mgumu beki kisiki wa Man Utd Nemanja Vidic wa kumkaba pindi wanapokutana.

Torres ameshinda kila taji isipokuwa taji la ligi tu, katika timu zote alizochezea hakuwahi kushinda ubingwa wa ligi na timu aliyoichezea.

Ametwaa, Kombe la Dunia 2010 pamoja na Ubingwa wa Ulaya kwa timu za Taifa mwaka 2008 na 2012 akiwa na kizazi cha dhahabu cha Spain.
Uefa Europa League, Uefa Champions League, Kombe la FA akiwa na Chelsea.

Kwangu mimi, Torres ni mmoja kati ya washambuliaji mahiri kuwahi kuwashuhudia katika EPL, namkubali sana.

Uhamisho wake kwenda Chelsea ni moja kati ya sajili mbovu kuwahi kufanywa Uingereza kwani Torres alichemsha vibaya sana akiwa Chelsea.
inasemekana alipigwa misumari na Drogba
 
8ef2f8c8ebdaeaa11b26fadefd7597d8.jpg


Kauli ya namba moja Tanzania...Watanzania tumejikita sana kwenye Maswala ya umbea, ambayo hayatupunguzii njaa, hayatupunguzii umaskini, hayatupunguzii matatizo ya elimu.

Mnajisumbua na vipost vyenu, kana kwamba mnanipangia mimi, mimi sipangiwi tena ukinipangia ndio kabisa naacha, mimi ndio Rais hakuna wa kunipangia cha kufanya, nilipoenda kuchukua form hakuna alienipangia

Hakuna wakunipangia nani nimuweke wapi, mimi ndo napanga fulani anakaa wapi, kwahiyo "Makonda" wewe chapa kazi,Chaps kaziii na hapa kazi tu... achana na hayo yanayosemwa kwenye mitandao ww piga kazi tu... Hapa kazi tu! Hakuna wa kunionyesha mimi njia ya kupita, chama changu cha CCM kilishanionyesha njia!

Rais JPM jumatatu Machi 20.2017
Daima binadamu husema kilichojaa moyoni mwake lakini Mungu anamajibu :


Mithali 16:1-.maandalizi ya moyo ni ya mwanadamu ,na jibu la ulimi hutoka kwa Mungu....2 Matendo ya mwanadamu huonekana kuwa sawa machoni pake lakini Mwenyezi Mungu hupima nia ya mtu.....4 Mwenyezi-Mungu ameumba kila kitu kwa kusudi lake ,hata waovu kwa ajili ya siku ya maangamizi..

PROVERB 16:1-2The preparation of the heart belongs to man But the answer of the tongue is from the LORD....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom