Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hahaaaa! Si dada yakeNa wewe anakutulizaa ,??



Kijana roho iko juu juu
Hahaaaa! Si dada yakeNa wewe anakutulizaa ,??



hahahahaSaaana, Yaani nikimuona roho yangu kwwaaatttuuu
Haswaaaanajua matatizo yangu
ata kama lkn kwangu haitatokeaKwani walichofanya kina lee leo ni nini?![]()
acha tu tutaongea dada tukiwa wenyeweNdo maana nikaja huku yaani, nini mbaya my love
Nini sasaKumbe ?? Au mnakutana pale opp na fuelstation
hahahhahh unataka kunichekesha kusudi tuPunguza wivu
Mie wa kike Ila nimefanana na babangu
unaonaje ungeanzisha thread mmu tukaja huko mana mtu mzima yeyote hamna asiyejua mambo haya
kaanzishe thread mmu tutakuja
najua lazima umfate threadShidaa ni ninisijauchuna dada toka nilivyotoka jana usiku ndio nimeingia leo na moja kwa moja nimeingia makapuku
Sakayo utamu wangu!neno zito hilo shemela utamu wako tena
pale dada tunapokaaga karibu na petrol station ukija dar tunapata moja moto moja baridiNini sasa
Usiku utaniambiaa ulienda wapisijauchuna dada toka nilivyotoka jana usiku ndio nimeingia leo na moja kwa moja nimeingia makapuku
Kwani uongohahahaha
hahahhah ata sijui kama ana week nimejua tu mtu katoka alipotoka kaja na mada yake ya shanga![]()
![]()
![]()
![]()
Mkaribishe kwanza alafu kafikisha week
Aneeeweeiiii umeelewaa lakini![]()
![]()
![]()
najua lazima umfate thread
full stress tutaongea usijal dadaShidaa ni nini
Mdogo wangu, unanipa Mawazo Ujueacha tu tutaongea dada tukiwa wenyewe
Ila sakayo ana babu yake n mtata achaSakayo utamu wangu!
Sema bado hajagundua tuu...
Pole shemfull stress tutaongea usijal dada
Bwanaaaaweeeeeh hivi washaongeza bei ya soda?? Especially fanta??hahhahah akija dar tunakutana pale tunakaa mpk tunachoka