Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
hahahhah hamna cha kurelax wala nnMbona povu bibie Lilax![]()
hahahhah hamna cha kurelax wala nnMbona povu bibie Lilax![]()
Muguu tulikuwa na mashaka ..unaendeleajeeMko poa wakuu daah kimya sana
Mimi mzima kabisaaaa mkuuMuguu tulikuwa na mashaka ..unaendeleajee
AmeeeeeeniiMimi mzima kabisaaaa mkuu
Utajuaaakomeo baby ndio nn
Kale kaugonjwa tu ndio kalikua kananisumbua but nimetoka hospitalAmeeeeeenii
Poleee sanaaKale kaugonjwa tu ndio kalikua kananisumbua but nimetoka hospital
Thanteeee nipe shunie aje kuniuguzaPoleee sanaa
Wewe ni mwanaume wa dar???Thanteeee nipe shunie aje kuniuguza
Ngumu kumeza hii halafu je wajua ndio imedai auWewe ni mwanaume wa dar???
Huo mdomo umeutajee
Anhaa![]()
![]()
![]()
huyu dadakee
Wee binti upo na huku,si nilikuacha kwa baradhuli mwenye mikono ya chuma haaah haaahsimpi we si unaonaga usumbufu ninaopata
Hehehemzoee dada ndio ndg yako nimeshanasa kama ww ulivyonasa kwa babu
Mkuuu karibu sana jisikie uko homeNaombeni ukaribisho murua humu wenye jukwaa
Yaishe shem bhanaUongo kwanii
NdioKhaaaa
Unamteteaa wee subir kufikiaa saa tat utajioneaaYaishe shem bhana
Ongea ka tulivyokufunza, ndo nini hivyo mdogo wangusi yameisha