Makapuku Forum

Jamani ni sawa kushikishana mabango namna hii hata kama ni mtuhumiwa wa uhalifu? Nasema kuwa ni mtuhumiwa kwa sababu bado kosa lake halijathibitishwa mahakamani. Na ni makosa gani ukiyatenda ndo unashikishwa bango namna hii?Bongo vituko haviishi haki ya nani!
 
Kumekucha salama ....
Asante mume-mwenza kwa magazeti ya leo. Naona ishu ya Bashite bado imeshika kasi. Inavyoonekana dogo atasavaivu hii kasheshe japo Mange binti Kimambi bado kamkalia kooni sawasawa. Nawapa pole wote waliofukuzwa kazi kwa sababu ya vyeti feki. Hakuna usawa hapa duniani aisee....
 
Ahaaaaaaaaaaah umeamuaa


Ache kuquote magazeti
 
Daaaaaaaaah Leo umeniamuliaa mkuu ila mbona walio single wapo wengi mkuu ....wengine wameachikaa

Naomba bhasi niachie ka shunie kangu unanitafuta maneno asubh hii kweli ....

Ngoja aamke aone maajabu ya kapuku
Utashangaa akiamka na kuunga mkono wazo langu la POLYANDRY . Jiandae kisaikolojia mkuu.

Shunie
ukiamka usiniangushe. Nitakuwa angani kwa masaa sita na nusu na nikitua tu kitu cha kwanza ni mbio hapa kuja kuona kauli yako. Usije ukanihuzunisha miye kijana kutoka Koromije....
 
Kila kitu namwachiaa shunie hii vita ya shimba
Umesarenda? Kirahisi hivyo? Ni kweli unampenda Shunie wewe au gheresha tu? Ungekuwa unampenda kikweli ungempigania mpaka tone la mwisho. Aisee...

Tuonane tena baada ya masaa manane hivi inshallah. Na haya mausafiri yao ya kutetemeka mawinguni haya mi siyapendagi ila basi tu. Mi nimezoea punda kule kwetu Koromije. Msalimie Shunie...and I am logging off !
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…