Kuolewa ndiyo nini Mukongoman? Mume mwenyewe wala sijamuona hapa tangu nirudi. Si ajabu kasafiri au anaumwa. Akirudi atakuta mtoto si wake. Hapa nipo namwimbisha Shunie wikiendi ijayo twende visiwani hukooo "tukatambulishane". Ni mambo ya Kikoromoje Koromije tu....
kaenda kumsalimia binamu yake obe nahisi simu imeisha chaji na kwa binamu umeme hamna
hapana mm siwezi kumuacha mume sbbu ya mambo ya mpito kama yako msukuma
Trump anawakosesha usingiziKila nchi ina mambo yake yanayoboa. Nimerudi kutoka katika mizungiko iliyonifikisha katika nchi 6 katika mabara matatu tofauti na kote huko kero kibao. Wamarekani wenyewe wako hoi naTrump wao. Sema tu sisi binadamu huwa tunaona kuwa matatizo tuliyonayo ndo funga kazi kumbe tungeangaza kwingineko pengine tusingekata tamaa kivile...
Au nao ni mamods au platinum membersHalafu zenyewe zinatukana tu we ukijaribu unakula ban. Utaziacha Lizabon na Wakudadavua zipo tu zinaendelea wakati we unachezea ban.
Tizi unatakiwa uanze nalo mdogo mdogo na ukitaka kuacha uache hivyohivyo mdogo mdogoNilifuatilia uzi fulani wa jamaa Castr ndio namm nikaanza. Weee imebidi nimfuate pm nimueleze akanishauri leo nipige kidogo. Sasa nikajiuliza kama kumpiga mbu, kucheka, hata kusex pia suwez kwa jinsi nilivyo si ndio nitakufa kabisa ikabidi nipotezee. Niliiogopa nilidhan nimekata utumbo
Yalishanikuta sina ujanjaTizi unatakiwa uanze nalo mdogo mdogo na ukitaka kuacha uache hivyohivyo mdogo mdogo
kaenda kumsalimia binamu yake obe nahisi simu imeisha chaji na kwa binamu umeme hamna
hapana mm siwezi kumuacha mume sbbu ya mambo ya mpito kama yako msukuma
UlaleLo! Mjomba lee empire sijamuona wiki sasa, inabidi aseme alienda wapi maana mimi nimeitwa kikao cha dharula huku Ngende
Ulale
Mkuu unataka ban nyingine....???Kuolewa ndiyo nini Mukongoman? Mume mwenyewe wala sijamuona hapa tangu nirudi. Si ajabu kasafiri au anaumwa. Akirudi atakuta mtoto si wake. Hapa nipo namwimbisha Shunie wikiendi ijayo twende visiwani hukooo "tukatambulishane". Ni mambo ya Kikoromoje Koromije tu....
kaenda kumsalimia binamu yake obe nahisi simu imeisha chaji na kwa binamu umeme hamna
hapana mm siwezi kumuacha mume sbbu ya mambo ya mpito kama yako msukuma
Lo! Mjomba lee empire sijamuona wiki sasa, inabidi aseme alienda wapi maana mimi nimeitwa kikao cha dharula huku Ngende
Kuna ban ya kutongoza "mke" wa mtu mkuu? Ni Invincible au mod gani ambaye huwa anaitoa? Usinichongee mkuu. Japo siyo dili sana lakini sipendi ban aisee. Nikikata wiki bila kumchokoza chokoza Shunie ili kupima upepo roho huwa inauma balaa. Tuvumiliane mkuu na kama Shunie ataridhia basi itabidi tufanye POLYANDRY kwa sababu hakuna namna. Unasemaje?Mkuu unataka ban nyingine....???
Naionaaa ban kabisa inakujiaa...tena ikiwezekana ile ya vipapaii ....cheza na vyote ila sio shunieeKuna ban ya kutongoza mke wa mtu? Ni Invincible au mod gani ambaye huwa anaitoa? Usinichongee mkuu. Japo siyo dili sana lakini sipendi ban aisee. Nikikata wiki bila kumchokoza chokoza Shunie ili kupima upepo roho huwa inauma balaa. Tuvumiliane mkuu na kama Shunie ataridhia basi itabidi tufanye POLYANDRY kwa sababu hakuna namna. Unasemaje?