Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Kwa hii je wajua sidhani kama ni mondray huyu..JE WAJUA??
kanisa katoriki limeweka rekodi ya kuwa na mtakatifu ambaye alikua anaonekana sehemu mbili kwa wakat mmoja.
Eg: Muda huu anaweza kua yupo Dar anahubir na muda huo huo yupo kigoma anabatiza.

