Makapuku Forum

Umenikumbusha kwa mbele kulikuwa na Simba, Twiga, Tembo, Chui na Kifaru
 
Wapendwa nawatakia ijumaa njema,kwa wagonjwa poleni sana mtapona matibabu muhimu na maombi kwa Mungu Baba,wanaopitia changamoto yoyote amini hauko peke yako usikate tamaa bado lipo tumaini tafuta ushauri, usiwaze peke yako Na naomba Mungu akutie nguvu,Mungu abariki kazi za mikono yenu ufanikiwe mbarikiwe sana sana .
 
Aminaaaaaaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…