Tupo pamojaAsante Mkuu nilipata mashaka sana taarifa ya. Mchana
Umenikumbusha kwa mbele kulikuwa na Simba, Twiga, Tembo, Chui na KifaruEnzi zetu Daftari ya Mazoezi lilikuwa na:-
Table 1-12
Kubadirisha Centigred Celisius kwenda fahrenheit
Uwiano wa vipimo Kilomita, Hektomita, Decimita, Sentimita n Milimita
Za wenzetu sasa (Kawambwa & Magembe Generation). Daftari zina picha za akina Messi, Ronaldo, John Cena, Undertaker na kila mbwembwe.. Halafu ndo unategemea wasipate Zero kweli.!
Elimu ilikuwa enzi zetu bwana..... Alaaa
Hahahahaaaa ametisha binti, thank you Mkuu,asante kutukumbuka (better late than never) ubarikiwe
I see ubunifu
Morning Mkuu Lee umeamkaje ?Ubarikiwe sana uwe Na ijumaa njema ya furaha Na mafanikio.Good morning....![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Morning Mama mchungaji ..namshukuru mungu nazidi kuiona miujiza yakeMorning Mkuu Lee umekaje Ubarikiwe sana
Sifa ,Utukufu,Heshima Na Shukurani ni kwake Mungu wetu mwema tumshukuru sana kwa yote anayotutendea..AmenMorning Mama mchungaji ..namshukuru mungu nazidi kuiona miujiza yake
Ubarikiwe mkuuLeo katika Historia:
Niwatakie mapumziko mema.
R.I.P Notorious B.I.G1997 - Rapa Notorius B.I.G anauwawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.
Kifo chake kinahusishwa na kulipa kisasi kutokana na mauaji ya Tupac.
Ni miaka 20 sasa bado mpaka leo haijulikani ni nani alimuua Biggie kama ambavyo isivyojulikana aliyemuua Tupac.
AminaaaaaaaWapendwa nawatakia ijumaa njema,kwa wagonjwa poleni sana mtapona matibabu muhimu na maombi kwa Mungu Baba,wanaopitia changamoto yoyote amini hauko peke yako usikate tamaa bado lipo tumaini tafuta ushauri, usiwaze peke yako Na naomba Mungu akutie nguvu,Mungu abariki kazi za mikono yenu ufanikiwe mbarikiwe sana sana .
Lee asante kwa magazetiAminaaaaaaa