Makapuku Forum

Makapuku Forum

1987 - Msanii Bow Wow anazaliwa.

Ni msanii wa hiphop toka Marekani, alitambulika zamani kama Lil Bow Wow.
37db0a58c7a6ebe00063b0b6ed9dc522.jpg
4a187a755b034072e9001163e8c76611.jpg
45b1d9697d5b1eaf2551dcbeb12e61d5.jpg
cc8d414196b338c4097eccc454e1afa5.jpg

Alikuwa kidume cha Ciara
Wimbo wa That's my name alioimba na Snoop ndo ulimtoa
.....
 
1997 - Rapa Notorius B.I.G anauwawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.

Kifo chake kinahusishwa na kulipa kisasi kutokana na mauaji ya Tupac.

Ni miaka 20 sasa bado mpaka leo haijulikani ni nani alimuua Biggie kama ambavyo isivyojulikana aliyemuua Tupac.
c326b56697308917b0e3fe815a500581.jpg
68874f9d91406bb5dfd737ba4cf2e2d0.jpg
06512e2076fee952c0974e0c62b77a52.jpg
d6e5b4ac9859edde5e68213dceb9593c.jpg
684c92d93e13bbf72b6cec2e05422828.jpg

Wao walikuwa na East Coast na West Coast sisi tuna Team Kiba na Team Mind
.....
 
1975 - Juan Sebastian Veron anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Lazio, Man Utd, Chelsea na timu ya taifa ya Argentina.

Alitajwa kama kiungo bora enzi akiwa Lazio hali iliyofanya Man Utd kumsajili kwa dau nono lakini usajili huo ukageuka moja ya sajili mbovu za muda wote.

Akatimkia zake Chelsea nako mambo yakawa mabaya.
c914e09117cf9f8ae0320f77e1ea102c.jpg
9adfe1c9952a6f424372d6bd3af52e0b.jpg
9af489f7cd477e046f3114b04e76a076.jpg
c05d2f335365a5facbe484af19b97232.jpg

Vipara wanaflop Man Utd....mkumbuke na Barthez
.....
 
Enzi zetu Daftari ya Mazoezi lilikuwa na:-
Table 1-12
Kubadirisha Centigred Celisius kwenda fahrenheit
Uwiano wa vipimo Kilomita, Hektomita, Decimita, Sentimita n Milimita

Za wenzetu sasa (Kawambwa & Magembe Generation). Daftari zina picha za akina Messi, Ronaldo, John Cena, Undertaker na kila mbwembwe.. Halafu ndo unategemea wasipate Zero kweli.!
Elimu ilikuwa enzi zetu bwana..... Alaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom