Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mm nikinywa maji nakuonanakupenda lee wangu Mungu azidi kukuweka![]()
Mm nikinywa maji nakuonanakupenda lee wangu Mungu azidi kukuweka![]()
Songela mbwaneweEeeh! Napendaga watu wanaoelewa baada ya mwalimi kutoka darasani..
Huwa hawasahau; asante kwa kuelewa.
hahahh mapenzi ya zamani hayoMm nikinywa maji nakuona
Vya kale dhahabuhahahh mapenzi ya zamani hayo
Hahaha! Unataka lee aombe poo? Unataka lee akimbie Makapuku?hahahhhahhh Transcend unaskia
hawezi kimbia akimbie kwa nnHahaha! Unataka lee aombe poo? Unataka lee akimbie Makapuku?
Lee vipi niweke kile kifaa kwenye 18?Umetumwa ??
Tulia na Paprika mkuu! Au nimuite sasa hivi aje... Mwenyewe kasema ananizimikia .Hapana nataka kujua tu



Anajua ngumi zangu! Nikianza kuzirusha...hawezi kimbia akimbie kwa nn
Heshimu mali ya mdogo wako mkuuTulia na Paprika mkuu! Au nimuite sasa hivi aje... Mwenyewe kasema ananizimikia .
Sema nakuheshimu mdogo wangu.
Muite paprika hebu kwanza?Mbona pame poa humu
Mzee wa Barca! Usiku mwema mkuu![]()
Aiseeee mimi nalala sitaki usumbufu
Hahahaa! Kama kawaida mdogo wangu! 100% respect...!Heshimu mali ya mdogo wako mkuu
Aisee sifungamani na timu yoyote ileMzee wa Barca! Usiku mwema mkuu