Makapuku Forum

Makapuku Forum

na mimi nataka chaji maana nahisi nimepigwa kibuti
Chukua hii
1460994829231.jpg
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Fid Q aliwahi kuimba kwenye huyu na yule, huyu faida yule bure

Alisema huyu mademu...Yule sssss sabuni...
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Point mkuu! Wanajiunga wiki hii wiki inayofuata na yeye awe "expert member", trophy poin 500, likes 4000..
Alafu sijaelewa kwann wanalalamika eti hawapewi likes[emoji15]!! likes haziombwi ukiongea point watu watalike ukiona unapost kibao lakini hakuna likes unatakiwa uongeze kutanua misuli yako ya ubongo!!
But nawaelewa sana makapuku, mmekataa kufa kijerumani mmepaza sauti!!! Ila prezidnt wenu Bitoz huyu sio kapuku mwenzenu maana anawashindg umaarufu mpaka wakongwe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahahahahahhahahahahh
 
Back
Top Bottom