Sabuni ni bidhaa ati usisahauFid Q aliwahi kuimba kwenye huyu na yule, huyu faida yule bure
Alisema huyu mademu...Yule sssss sabuni...
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Salama mkuu mambo vipi.?za jioni wapendwa
Huwezi kuwa single hivihivu lazima kuna mbadala wake.!
Bitoz utaoa lini?![]()
Unasema..
..............
Sio mimi ni youngbloodTh name umegonga ya 14k
Fid Q aliwahi kuimba kwenye huyu na yule, huyu faida yule bure
Alisema huyu mademu...Yule sssss sabuni...
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Aliyegonga ni youngbloodTh name umegonga ya 14k
tupo mkuu mdogo mdogo tunachekecha, tunacheketuaSalama mkuu mambo vipi.?
hahahahahahhahahahahhPoint mkuu! Wanajiunga wiki hii wiki inayofuata na yeye awe "expert member", trophy poin 500, likes 4000..
Alafu sijaelewa kwann wanalalamika eti hawapewi likes!! likes haziombwi ukiongea point watu watalike ukiona unapost kibao lakini hakuna likes unatakiwa uongeze kutanua misuli yako ya ubongo!!
But nawaelewa sana makapuku, mmekataa kufa kijerumani mmepaza sauti!!! Ila prezidnt wenu Bitoz huyu sio kapuku mwenzenu maana anawashindg umaarufu mpaka wakongwe![]()
![]()
![]()
Nini tena.Hongera
Mshana ulipotea sana
unajua siasa nzur ila siasa za ugomvi siung mkonoUko right mkuu watu wafanya maisha magumu
Sasa acha nianze kumpeti peti modSiku thread ikipigwa kufuli
![]()
![]()
![]()
...........
kuna mzee mmoja nilimjua kwa jina la mzee mshana, alikuwa mwenyekiti wa fellowship manzese enzi hizo vipi ndo mshana sr yule au?