Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
Nikishakua mbunge baasi tunatangaza kwenye kamati kuu wanatupokea.. Upo tayari nichukue formAsante na karibu sana
Nikishakua mbunge baasi tunatangaza kwenye kamati kuu wanatupokea.. Upo tayari nichukue formAsante na karibu sana
Apooo mkuu wanasema mida ya wanga wakati upo fofofoooLee tafadhari usinihusishe humo kwenye story... Damnnn!!!! Frem kaja mida mibovu
Duuuh fatilia muvi hii ya bashiteApooo mkuu wanasema mida ya wanga wakati upo fofofooo
Tuko pamooookooooNimewamiss pia, sema tu majukum yalizidi mnoo.
Umeongeza chumvi ili ufanikiwe mradi wako...hilo la couple sio lazima bali ni matokeo tu.Hapa tunaishi kama familia ni tofauti na huko kwenye forums zingine, ukiwa na tatizo, wazo, kitu unakifaham basi unakuja tunachangia. Heshima kama kawa. Humu watu wanaishi kwa couples wengi ni double, nadhan ww ni jimbo waz so nadhan tunaweza tukafanya uchaguz nikawa mbunge wako
Mfano tafadhari ???Hapa tunaishi kama familia ni tofauti na huko kwenye forums zingine, ukiwa na tatizo, wazo, kitu unakifaham basi unakuja tunachangia. Heshima kama kawa. Humu watu wanaishi kwa couples wengi ni double, nadhan ww ni jimbo waz so nadhan tunaweza tukafanya uchaguz nikawa mbunge wako

Usiniambie nimekosea??? Anataka kunionea mgeni au? Nipe mkanda wakePaprika umemkaribishaaa???
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
NaaaaaaamuuuuuuuuuuMakapuku
Mfano wa couples zilizopo eehMfano tafadhari ???![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu mengine uwe unapotezeaaUmeongeza chumvi ili ufanikiwe mradi wako...hilo la couple sio lazima bali ni matokeo tu.
Cc paprika

Aisee, kumbe coke zero na frem zero wapo humu wote!!!Nimewamiss pia, sema tu majukum yalizidi mnoo.
Paprika wala usiofu ....iko muntu moko inaitwaga mukongo pappa muntu ya pesa kwanza lazima akuandalie juis ya kapuku alafu shululu atakuhudumia unachokitaka humu wengine wapambe .....Usiniambie nimekosea??? Anataka kunionea mgeni au? Nipe mkanda wake
Ila msikilizeHujakosea karibu sana niruhusu nichukue formUsiniambie nimekosea??? Anataka kunionea mgeni au? Nipe mkanda wake
Ndiooo mkuuuMfano wa couples zilizopo eeh
Aisee, kumbe coke zero na frem zero wapo humu wote!!!
How lovely!!!
nataka nijiite frem Bashite sifahamu namna ya kubadilisha jina
Nilidhan unanitimulia vumbi, ahsante mkuuPaprika wala usiofu ....iko muntu moko inaitwaga mukongo pappa muntu ya pesa kwanza lazima akuandalie juis ya kapuku alafu shululu atakuhudumia unachokitaka humu wengine wapambe .....
![]()
![]()
![]()
![]()
Ila msikilize