Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,932
JE WAJUA??
HEXAKOSIOIHEXEKONTAHEXAPHOBIA Ni uoga wa namba 666
hebu isomeRahisi tu kuisoma mm nimeshaisoma tayarihebu isome
Shunie twende tukacheze movieJE WAJUA??
Filamu ya Paranormal Activity ilitumia Dollar 15, 000 lakini ikazalisha faida ya Dollar 193, 000, 000

Sio kibongo bongo mtaumbukaShunie twende tukacheze movie![]()
Sio kibongo bongo mtaumbuka
acha wivu!!!.....asumani ashafika???
Kwendaaa zhaaaakooo ....mwe mwe mweh!!!
NilijuaaaaMa Mchungaji yupo kwenye huduma ya kuvuna nafsi kupeleka kwa Yesu.....we unahitaji masaji asumani yupo!!!![]()
Kwani kuna ubaya mkuu .....Jamani Autocorrect imefanya yake sikua namaana hiyo
Ngachoka mie!!!!
Nafwaaaa,!!! Sorry da bless
Kwendaaa zhaaaakooo ....

Du kabeji mi silagi nataka nyama
Asuman yupi mkuuacha wivu!!!.....asumani ashafika???