Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,045
Mkuu jichawi dah
Kuch kuch hotaeHebu nisikie kidogo basi![]()
![]()

Dalili nzuri hapaKuch kuch hotae![]()
Okay poa, nilijua labda mnafahamiana nje ya hapa maana hili jina lako ni balaa.Hatuna undugu mkuu.....tumefahamiana hapa hapa
Hayo sasa ndio manenoBasi kheri,tunawatakia mazungumzo mema.
Maada zenu ni tata hadi huwa nawaogopaHatuna undugu mkuu.....tumefahamiana hapa hapa

SanaaaaaaaDalili nzuri hapa
Karibu sanaNaam nipo kambi hii rasmi mkuu
Na iwe njema kwako piaJioni njema Wapendwa.
Yeah nawakubali sana kwa ujuzi mnaoshareHahah ni ku share mawazo tu

Hebu tupia kauchawi kadogo hapa mkuuNaam nipo kambi hii rasmi mkuu
Halafu naomba majibu kabla ya SAA moja pleaseSanaaaaaaa
tarehe ya nn tena
subiri upewe kadi ya mwaliko mkuu, usiogope michango, familia itawajibika
Na kweli shemShem hawa si ndio wale vijana wanaopita na kuchungulia madirishani kwa watu sasa dawa si kuwamwagia maji ya moto ila nikuwaelewesha kuwa tabia hiyo si nzuri....na undugu unaendelea tu..