Wapambe nao wamoooTunasema kachezea za chaga
Nikipata time lazima niende paleAiseee twende tukajiselfie tu..sema hii Mvua inaharibu pozi.
Napenda sana tunavyopeana support, yaani inakupa hamasa ya kuchangia unachokipenda tofauti na kule upande wapili ukitaka kupost kitu lazima utegemee na ujipange kwa matusi na dharau.Likes
Love
Swaga
Umoja
..........
Ndo manake. Unamkazia tu mwa mwiYule mkongwe hivyo alistahili, asituchukulie poa au vepe
Hakika mkuu kule ukichangia kitu halafu bahati mbaya kukawa na typing error kidogo utajutaNapenda sana tunavyopeana support, yaani inakupa hamasa ya kuchangia unachokipenda tofauti na kule upande wapili ukitaka kupost kitu lazima utegemee na ujipange kwa matusi na dharau.
Hili jibu lako inabidi ni screenshot maana huchelewi kubadili mawazo.
Wakongwe hawawezi kutukamata 7bu hawapendani + hawana umoja kila mtu anajiona faza wa Jf..wanashindana wenyewe kwa wenyeweNapenda sana tunavyopeana support, yaani inakupa hamasa ya kuchangia unachokipenda tofauti na kule upande wapili ukitaka kupost kitu lazima utegemee na ujipange kwa matusi na dharau.
Labda awe dikteta.Rais hapandi cheo
![]()
![]()
![]()
![]()
...............
Habari zenu dears? Nawasalimu wote kwa busu takatifu![]()

Kwa sasa hawana jipyaWakongwe hawawezi kutukamata 7bu hawapendani + hawana umoja kila mtu anajiona faza wa Jf..wanashindana wenyewe kwa wenyewe
Kazi kwao
..................
Hakika mkuu kule ukichangia kitu halafu bahati mbaya kukawa na typing error kidogo utajuta
utasikia Division 51m soon![]()
K
Views
............
Shule zinafunguliwa lini?Subiri ukue dogo
Rudi shule dogo
Una miaka mingapi