Makapuku Forum

Makapuku Forum

Let's see also .....
1fa5562b56130f823c3357616ff6514a.jpg
 
1940 - Denis Law anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Man Utd, Man City na timu ya taifa ya Scotland.

Goli lake alilofunga dhidi ya Man Utd akiwa Man City liliifanya klabu ya Man Utd ishuke daraja msimu wa 1972/1973 na hakushangilia bali alilia sana.

Mmoja wa kati ya Wachezaji wanaokubalika sana katika klabu ya Man Utd, ambapo nje ya uwanja wa Old Trafford kuna sanamu ijulikanyo kama " The United Trinity " ikihusisha Wakongwe watatu ambao ni yeye Denis Law, Bobby Charlton na George Best.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom