Makapuku Forum

Makapuku Forum

1946 - Kanali Juan Peron wa Argentina anaingia madarakani kama Rais wa Nchi kwa kipindi chake cha kwanza.
68c53fbd90811190ac1cb4bf2789bec2.jpg
a9ba5eac470795fdebbd79676829652d.jpg
a9744352106d5bead656dc2f9f91c510.jpg
 
1993 - Robert " Bobby " Moore anafariki Dunia. Mchezaji wa zamani West Ham na timu ya taifa ya England.

Alikuwa ni kepteni wa timu ya taifa ya England iliochukua Kombe la Dunia mwaka 1966 katika ardhi ya nyumbani kwa mara ya kwanza na ya mwisho mpaka sasa.

Ndiye kepteni mdogo kushika wadhifa huo, alishika wadhifa huo akiwa na miaka 22.

Klabu yake ya West Ham imestaafisha jezi yake namba 6 aliyokuwa anaitumia klabuni hapo.
 
- Leo ni siku ya Kuzaliwa kwa Dikteta wa Makapuku Forum, Mussolin5

Namshukuru Mungu kwa kunibariki kufika siku hii kubwa kwangu, shukrani na pongezi pekee zeinde kwa wazazi wangu, sina cha kuwalipa zaidi ya kuwaombea kwa Mungu awabariki katika maisha yao.

Happy birthday to ME.
 
1940 - Denis Law anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Man Utd, Man City na timu ya taifa ya Scotland.

Goli lake alilofunga dhidi ya Man Utd akiwa Man City liliifanya klabu ya Man Utd ishuke daraja msimu wa 1972/1973 na hakushangilia bali alilia sana.

Mmoja wa kati ya Wachezaji wanaokubalika sana katika klabu ya Man Utd, ambapo nje ya uwanja wa Old Trafford kuna sanamu ijulikanyo kama " The United Trinity " ikihusisha Wakongwe watatu ambao ni yeye Denis Law, Bobby Charlton na George Best.
3b95565d6ff90e2cbbedb68b43d42ada.jpg
0666112daa58af60d3131c76e0f3b3d3.jpg
7dded40cfbe7d0b2364f912a644a7aeb.jpg
04e9a3a255956887dd42a777fd3ec525.jpg

Rooney naye aonfezwe kwenye mnara
.....
 
1993 - Robert " Bobby " Moore anafariki Dunia. Mchezaji wa zamani West Ham na timu ya taifa ya England.

Alikuwa ni kepteni wa timu ya taifa ya England iliochukua Kombe la Dunia mwaka 1966 katika ardhi ya nyumbani kwa mara ya kwanza na ya mwisho mpaka sasa.

Ndiye kepteni mdogo kushika wadhifa huo, alishika wadhifa huo akiwa na miaka 22.

Klabu yake ya West Ham imestaafisha jezi yake namba 6 aliyokuwa anaitumia klabuni hapo.
3310d5cce907bca9ecdedc3003153e42.jpg
0bcc33499745eb812939972a5f04c5ea.jpg
d5bf8a64b443aca5963c08261c4bf036.jpg

Gwiji
.....
 
- Leo ni siku ya Kuzaliwa kwa Dikteta wa Makapuku Forum, Mussolin5

Namshukuru Mungu kwa kunibariki kufika siku hii kubwa kwangu, shukrani na pongezi pekee zeinde kwa wazazi wangu, sina cha kuwalipa zaidi ya kuwaombea kwa Mungu awabariki katika maisha yao.

Happy birthday to ME.
HBD Dikteta
Mzee wa historia
Mtu usiye na makuu wala mbwembwe
Live longer
..................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom