Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,303
- 68,387
Leo katika Historia:
1861 - Rais Mteule Wa Marekani, Abraham Lincoln anawasili Washington DC kwa siri kutoka Maryland mara baada ya kuwepo kwa mipango ya kutaka kumuua.
Rais Lincoln alikuja kuuwawa mwaka 1865 kwa kupigwa risasi.
1861 - Rais Mteule Wa Marekani, Abraham Lincoln anawasili Washington DC kwa siri kutoka Maryland mara baada ya kuwepo kwa mipango ya kutaka kumuua.
Rais Lincoln alikuja kuuwawa mwaka 1865 kwa kupigwa risasi.