Makapuku Forum

Makapuku Forum

1903 - Cuba yaikodishaMarekani, Eneo la Guantanamo Bay kwa ajili ya shughuli za kijeshi.

Eneo hilo la Guantanamo kwa mara ya kwanza ilikuwa ni kambi ya jeshi la wanamaji wa Marekani, Us Naval Base mpaka pale mwaka 2002 walipoamua kufungua gereza kwa ajili ya wafungwa wa kigaidi.

Mara baada ya mapinduzi ya Cuba ya mwaka 1959, Cuba imekuwa ikiiomba Marekani kurudishiwa eneo hilo lakini ombi lao bado halijafanikiwa.
 
Leo katika Historia:

1861 - Rais Mteule Wa Marekani, Abraham Lincoln anawasili Washington DC kwa siri kutoka Maryland mara baada ya kuwepo kwa mipango ya kutaka kumuua.

Rais Lincoln alikuja kuuwawa mwaka 1865 kwa kupigwa risasi.


Atakumbukwa kwa kile kilichoitwa Emancipation Proclamation, tamko la kukataza utumwa katika America. Na alisaidia kukijenga chama kilichipo madarakani sasa.

e42fe9168ff12a4ab78e854fb154f466.jpg
 
1903 - Cuba yaikodishaMarekani, Eneo la Guantanamo Bay kwa ajili ya shughuli za kijeshi.

Eneo hilo la Guantanamo kwa mara ya kwanza ilikuwa ni kambi ya jeshi la wanamaji wa Marekani, Us Naval Base mpaka pale mwaka 2002 walipoamua kufungua gereza kwa ajili ya wafungwa wa kigaidi.

Mara baada ya mapinduzi ya Cuba ya mwaka 1959, Cuba imekuwa ikiiomba Marekani kurudishiwa eneo hilo lakini ombi lao bado halijafanikiwa.
151850cc5dffab47fe2107400f89bcf3.jpg
7bc1c1e44bcb10323f6dde34526a71f9.jpg
73713a0c9197df8f45bf1c02575a80d5.jpg
 
1981 - Gareth Barry anazaliwa.

Ni kiungo wa kati aliyewahi kukipiga Aston Villa, Man City na sasa Everton.

Pia alichezea timu ya taifa ya England.

Ni mchezaji wa pili kucheza mechi nyingi katika ligi kuu ya Uingereza mara baada ya Ryan Giggs. Amecheza mechi 617.
 
1981 - Gareth Barry anazaliwa.

Ni kiungo wa kati aliyewahi kukipiga Aston Villa, Man City na sasa Everton.

Pia alichezea timu ya taifa ya England.

Ni mchezaji wa pili kucheza mechi nyingi katika ligi kuu ya Uingereza mara baada ya Ryan Giggs. Amecheza mechi 617.
1f92d65621ecb2b3b3bb48f6f977d2ab.jpg
31d83bf5dc8519e7188d885ade1f95d2.jpg
6f9766267af03660a99ac36f9a4eb0e8.jpg

Anacheza mpira wa matokeo huwa siyo mrembaji
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom