Makapuku Forum

Makapuku Forum

41203dfa73728c19d55cca52203d0b18.jpg
4f424e3f029fb62f7d647186b7b42848.jpg
8522f2372d0515db98a37f3715bd7058.jpg
00608a7484e230005ba4751fc3e3f751.jpg
023a13
169ff0786d60165660377248ebd06051.jpg
4c7d63f8e7b2c5c47e79d387b18bcec9.jpg
8047feb6770d26a989d0c918ea948c28.jpg
a9e697282a004b13cef1f544d9368b81.jpg
22598b762cb29a7e05e767377c9e8cf3.jpg
6be89.jpg[/IMG]1dc.jpg[/IMG]78d.jpg[/IMG]
 
1994 - Wakala wa CIA, Aldrich Ames na Mkewe wanashtakiwa na Serikali ya Marekani kwa kosa la kukubali kuuza siri za Nchi hiyo na kufanya kazi shirika la Ujasusi la Urusi KGB.

Aldrich Ames baada ya miaka 31 ya utumishi wake ndani ya CIA alijikuta akiwa " Double Agent " wa KGB jambo ambalo ni kosa la jinai.

Kwasasa anatumikia kifungo cha Maisha katika gereza lenye ulinzi mkali la Allenwood.
 
1921 - Jean Bedel Bokassa anazaliwa.

Kiongozi wa zamani wa Afrika ya kati ambapo alikuwa ni Rais wa Pili wa Nchi hiyo.

Alikuwa ni dikteta aliyejitangazia Urais wa Maisha katika Nchi hiyo.

Alipinduliwa mwaka 1979 kwa msaada wa Majeshi ya Ufaransa.

Alifariki mwaka 1996.
 
1932 - Ted Kennedy anazaliwa.

Alikuwa ni seneta wa Massachusetts. Alishikilia wadhifa wa useneta kwa miaka 47.

Alikuwa ni mdogo wake Rais wa zamani wa Marekani John F. Kennedy.

Alifariki mwaka 2009 akishikilia rekodi ya seneta wa 4 kukaa madarakani kwa muda mrefu zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom