Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ahaaaaaaaaah malkia umeniuaa na kichekoooBasi kwenye hiyo diwani kuna mstari mmoja wa kutoka shairi moja unasema...'mume wangu nakupenda, ila Josefu kanikuna'sijawahi sahau hicho kipandee
Ahaaaaaaaaah malkia umeniuaa na kichekoooBasi kwenye hiyo diwani kuna mstari mmoja wa kutoka shairi moja unasema...'mume wangu nakupenda, ila Josefu kanikuna'sijawahi sahau hicho kipandee
Kumbe huwa mnakumbuka tukiwatendea vizuri eeeBasi kwenye hiyo diwani kuna mstari mmoja wa kutoka shairi moja unasema...'mume wangu nakupenda, ila Josefu kanikuna'sijawahi sahau hicho kipandee
Haha hamna...sema mwanamke alikua anataka uhuru wa kuwa na wanaume zaidi ya mmoja kama ilivyo kwa wanaumeKumbe huwa mnakumbuka tukiwatendea vizuri eee
Wanakumbuka mkuu ,wewe muulizie mdogo wako shunieKumbe huwa mnakumbuka tukiwatendea vizuri eee
Mimi pia nikilikumbuka nachekaga sanaaAhaaaaaaaaah malkia umeniuaa na kichekooo
Niko na wifi yako kanuna kweli ..Mimi pia nikilikumbuka nachekaga sanaa
Muadisie na yeye achekeNiko na wifi yako kanuna kweli ..
Uko poa lkn!Haha hamna...sema mwanamke alikua anataka uhuru wa kuwa na wanaume zaidi ya mmoja kama ilivyo kwa wanaume
Anadai wamchafu...tuWanakumbuka mkuu ,wewe muulizie mdogo wako shunie
Hiyo logo bora aondoke tu
Niko poa 801 wanguUko poa lkn!
Ni mimi wako mmiliki wa no 801


hofu kwako
Ngoja nifanye hivoMuadisie na yeye acheke
Kwenye orodha hiyo mkuu shululu yumo au yeye ni wa 803??Niko poa 801 wanguhofu kwako
Kwenye orodha hiyo mkuu shululu yumo au yeye ni wa 803??


akija muulize...#1 Bitoz