Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
nitakuja naelee empire anapajua sana, ni member anayeaminiwa, attendance yake ina clean sheet
nitakuja naelee empire anapajua sana, ni member anayeaminiwa, attendance yake ina clean sheet
Mnyama tushafungwaNiko fan wa Darajani, Chelsea FC na kwa hapa home niko kwa Mnyama SSC.
Ila zote zikifungwa huwa narejea kwenye kitu kufuatilia masuala ya kilimo cha kisasa magazetini.
Vipi wewe unashabikia Yanga?
Niko poa kabisaUko Poa shemela wake Shunie ??
wameshatufungaUsiwazeee baby ,tunawafunga hao
umefurahi![]()
![]()
![]()
![]()
......
Watoto wa London, kwa bongo sina timu kabisaNiko fan wa Darajani, Chelsea FC na kwa hapa home niko kwa Mnyama SSC.
Ila zote zikifungwa huwa narejea kwenye kitu kufuatilia masuala ya kilimo cha kisasa magazetini.
Vipi wewe unashabikia Yanga?
Pole shemelaMnyama tushafungwa
Ule msemo wa kiswahili, adui yako muombee njaaumefurahi
Njo msimbazi shemela hutojutiaWatoto wa London, kwa bongo sina timu kabisa
hahahhhh unamuhusu BitozUle msemo wa kiswahili, adui yako muombee njaa
Mnyama tushafungwa
Haaaa HaaaaFYI. Me nashabikia Simba ya Serengeti, sio hii ya mjini. Tumeshinda juzi kombe la diwani.
MmmmmmmmhUle msemo wa kiswahili, adui yako muombee njaa
Polee. ...mie niko poaMzima, nilikuwa busy sana, vip wewe malkia
Afu saizi kawa mcharoooKweli nyota kali