shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ingia insta....kama hajakushawishi utakua na yako shululuMimi hujanishawishi bado![]()
![]()
![]()

Haaa, malkia buana, sasa pale nafuata nini kwa mfanoIngia insta....kama hajakushawishi utakua na yako shululu![]()
Sasa unataka uende ununioHaaa, malkia buana, sasa pale nafuata nini kwa mfano



Lee za usiku?Shululuu uko poaa ?? Nakuona unatesa na malkia
Niko poa, tunalisongesha tuShululuu uko poaa ?? Nakuona unatesa na malkia
Hee alikosa nini jamani![]()
![]()
BANNED
Sasa na yeye abaki huko na shule yake tulichoka mipasho yake km maneno ya trela za roli
![]()
![]()
![]()



Nzuri mbaya kwangu na kipenda roho changu ..Lee za usiku?
Mukongo kaenda kwao nini??Niko poa, tunalisongesha tu
Nzuri mbaya kwangu na kipenda roho changu ..


umenikumbusha mashairi ya chungu tamu
Mkuu upo ?Ila kipa wa azam kawabeba sana
Weee achaumenikumbusha mashairi ya chungu tamu
Mkuuu nipo naisoma namba tu mb majangaMkuu upo ?
Basi kwenye hiyo diwani kuna mstari mmoja wa kutoka shairi moja unasema...'mume wangu nakupenda, ila Josefu kanikuna'Weee acha


sijawahi sahau hicho kipandee
Atari sana mkuuMkuuu nipo naisoma namba tu mb majanga