Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
hahahahh nimeambiwa nisikwambieHebu njoo pm
hahahahh nimeambiwa nisikwambieHebu njoo pm
Pm tena ebu kuwaga siliasii ,,alafu mbona kijiweni sikuoni mm ujue nawahi bonge wanguHebu njoo pm
Acha woga mjombaangu, PM -Ka4n Majaliwa si kasema anahamia majengo ya udom? Kumpata akupe SLPPm tena ebu kuwaga siliasii ,,alafu mbona kijiweni sikuoni mm ujue nawahi bonge wangu
Ndiyo paradox ya Afrika hiyo. Bara tajiri ajabu lakini masikini ajabu. Wengi wamekuna vichwa lakini so far masuluhisho yamebakia kwenye makaratasi tu. Tuna tatizo !!!
Na jua linapenya mpaka mfukonimaisha yenyewe magumu haya hao wa3 atahudumiajr
Jibu tuBhinamu Ilo swali gumu
Nitauza mechiPm tena ebu kuwaga siliasii ,,alafu mbona kijiweni sikuoni mm ujue nawahi bonge wangu
- Millard Ayo anazaliwa.
Ni mtangazaji maarufu wa redio ya Clouds Fm.
Kwema malkia, naona leo ulikuwa umekabika sanaKwema humu
Matajiri wa Dunia1979 - Nelson Rockefeller anafariki.
Alikuwa ni mfanyabiashara na Mwanasias wa Kimarekani ambapo alikuwa ni Makamu wa Rais wa 41 wa Nchi hiyo.
Anatoka katika moja ya familia tajiri nchini Marekani.
Kwa hisani ya josee, asante mussolinLeo katika Historia:
Tukutane tena kesho.