Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
HahahahShululu,shululu jamani mbona unataka kuleta uchonganishi ??
Haya shunie wangu= mama Bite
HahahahShululu,shululu jamani mbona unataka kuleta uchonganishi ??
Haya shunie wangu= mama Bite
Arsenal ndio refalii?
Ila kabla ya penati ilikuwa offside, Sema ramzimeni hakuona
sawa baba biteMama Bite natoka kidogo ngoja nikacheki mpira kuwa makini na Shululu usiamini kila kitu anachokwambia
Sio ndugu yanguKwahyo sio ndg yako
Hamna, Lee wasi wasi wakeShululu mgomvi ww
Ukiangalia vizuri mechi nyingi magoli ya offside ni mengi, kama goli la jana la man city la kwanza![]()
Ukweli mmebebwa
*kuongezewa dk 7+
*Penati ya offside
Haya yaishe naona bora offside zifutwe
![]()
![]()
![]()
..........
Waondoe offside tujue moja maana kuna kipindi magoli halali yanakataliwa halafu hapohapo ya offside yanakubaliwaUkiangalia vizuri mechi nyingi magoli ya offside ni mengi, kama goli la jana la man city la kwanza
Waondoe offside tujue moja maana kuna kipindi magoli halali yanakataliwa halafu hapohapo ya offside yanakubaliwa
......
MmmmmmmmmhHamna, Lee wasi wasi wake
Hahahahh unamkataa ndg yakoSio ndugu yangu
wasiwasi wake ndio umaskini wakeHamna, Lee wasi wasi wake
HahhahahhNashauri watu waanze funya make up hata mwezi kabla ya Harusi...
Mambo ya kukurupuka siku ya harusi unataka uwe mweupe..sio mazuri
![]()
Angalia hii game ya Chelsea ndio utajua marefa kipindi hiki wamepindaWaondoe offside tujue moja maana kuna kipindi magoli halali yanakataliwa halafu hapohapo ya offside yanakubaliwa
......
Mhhhhhnimecheka sana hivi kwa nn mnatusakama![]()
Hahahahh nini sasaMhhhhh
Wala usiofu shunie wangu nsharudiwasiwasi wake ndio umaskini wake