Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ww kwa nn haumoKatibu ni Obe ,mimi simo na Bitoz jana kajitoa
Ww kwa nn haumoKatibu ni Obe ,mimi simo na Bitoz jana kajitoa
Nilikuwemo kabla sijakupa shunie wangu ...sitaki unikimbieWw kwa nn haumo

Mmh jana apa ulikua unamwita cley mama biteNilikuwemo kabla sijakupa shunie wangu ...sitaki unikimbie![]()
Ndio ana Baba Bite wake anamjua Trascend na mimi Baba Bite wako sio yuleMmh jana apa ulikua unamwita cley mama bite
shahidi Mukongo
Hahahahh sio yule nanNdio ana Baba Bite wake anamjua Trascend na mimi Baba Bite wako sio yule![]()
![]()
shahidi Mukongo
Unaniuliza Mimi au mukongo ??Hahahahh sio yule nan
Nakuuliza ww mukongo ndio ninaechat nae apa kwanInaniuliza Mimi au mukongo ??
Ahaaaaaah mimi jamani ndo baba bite wako hakuna mwingine na wewe ndo mama bite wangu japo naona kuna mkuu mmoja humu hanitakii memaNakuuliza ww mukongo ndio ninaechat nae apa kwan
Hahahahh nan asiekutakia memaAhaaaaaah mimi jamani ndo baba bite wako hakuna mwingine na wewe ndo mama bite wangu japo naona kuna mkuu mmoja humu hanitakii mema
Huyo unayedhani ni mama Bite wangu ,hatuaminiani kweli??Hahahahh nan asiekutakia mema
Hahahhhhh mm nilisema tu lknHuyo unayedhani ni mama Bite wangu ,hatuaminiani kweli??
Kanisa lapiga marufuku ndoa wanawake waliozaa.<br /><br />Kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), limepiga marufuku kuanzia sasa ufungishaji ndoa madhabahuni kwa wanawake waliozaa.<br /><br />Aidha kanisa hilo ambalo ni moja ya makanisa mawili makubwa zaidi Nchini limepiga marufuku pia wanawake wenye ujauzito kufunga ndoa madhabahuni kwa maelezo kwamba kufanya hivyo ni kukiuka maandiko ya Mungu.<br /><br />Kutokana na uamuzi huo wa Kanisa, kuanzia sasa wanawake wenye sifa hizo hawataruhusiwa kukaa mbele madhabahuni na kufunga ndoa wakiwa wamevaa shela.<br /><br />Badala yake, imeelezwa ndoa zinazohusu maharusi wanawake wa namna hiyo zitafungwa katikati ya ibada ya kawaida Wakiwa wamekaa na waumini wengine.<br /><br />Imekuwa kawaida sasa kuona wanawake wenye ujauzito au walishazaa watoto baada ya kuishi na wanaume kinyumba au wakiwa wajawazito wakifunga ndoa madhabahuni.<br /><br />Kwa mujibu wa tangazo wa tangazo lililosomwa kwenye sharika mbalimbali za KKKT hivi karibuni ni marufuku Wachungaji kufungisha ndoa za aina hiyo.Gazeti la Nipashe lina habari ambayo imenigusa sana, infact inanihusu. Naomba kuelezwa ni kanisa gani limepiga marufuku ndoa za wazazi?
Nipo kijijini hakuna magazeti huku.
Sasa mama Bite wangu ...Hahahhhhh mm nilisema tu lkn
niite kwanza na mimi Baba bite (
) husiwe na dukuduku mimi ndo mwenyewe japo nina wasiwasi Bitoz alisema anakupitia kwako sijui alikwambia nn
hahahhh sina dukuduku baba biteSasa mama Bite wangu ...![]()
niite kwanza na mimi Baba bite (
![]()
) husiwe na dukuduku mimi ndo mwenyewe japo nina wasiwasi Bitoz alisema anakupitia kwako sijui alikwambia nn
MhhhhmhhhUmoja Wa ma Boyfriend wasumbufu Tanzania(UBOTA) ...Tunapenda kuwatangazia wana chama wetu kua bado kauli mbiu yetu ni ile ile "NTAKUOA MWAKANI" usijaribu wala kushawishika kuingia kwenye ndoa maana walio ndani ya ndoa wanataka kutoka....!!
*UBOTA OYEeeeeH*
Niajee QuigleyNi buheri afya mpendwa wangu.
Nimefurahi kukuona![]()
Mwenyekiti ni nani?Katibu ni Obe ,mimi simo na Bitoz jana kajitoa
Haaaaahaaaa, nilijua tu kuna siku kutakuwa na swali kama hiloMmh jana apa ulikua unamwita cley mama bite