Makapuku Forum

Makapuku Forum

Niaje Wadau? Naona wanatudiss ila mioyoni mwao wanatukubali kiaina...
Haters wakikuona unatembea juu ya maji baharini wanasema hujui kuogelea wakati wao wanategemea mtumbwi
Maneno yao hayatusumbui ndo kwanza wanatusaidia kuifanya thread iwe active bila kujua

Haters gonna hate Ignore them
........
 
Haters wakikuona unatembea juu ya maji baharini wanasema hujui kuogelea wakati wao wanategemea mtumbwi
Maneno yao hayatusumbui ndo kwanza wanatusaidia kuifanya thread iwe active bila kujua

Haters gonna hate Ignore them
........
Haaahaaa, huo ndio ukweli wenyewe
 
455115e395cbcec27614574cd9dd2236.jpg

Mnaomsema Le Mutuz Mungu anawaona

........
Hivi vyakula vya viwandani ni majanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom