Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Ina maana vibonge wote ni masikini?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nkiwa nibonge ntakua maskini ujue sitaweza kazi
Ina maana vibonge wote ni masikini?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nkiwa nibonge ntakua maskini ujue sitaweza kazi
Haters wakikuona unatembea juu ya maji baharini wanasema hujui kuogelea wakati wao wanategemea mtumbwiNiaje Wadau? Naona wanatudiss ila mioyoni mwao wanatukubali kiaina...
Ignore them
Nimeongelea upande wangu mimi kama askari wa mwamvuliIna maana vibonge wote ni masikini?
Kweli mkuuHaters wakikuona unatembea juu ya maji baharini wanasema hujui kuogelea wakati wao wanategemea mtumbwi
Maneno yao hayatusumbui ndo kwanza wanatusaidia kuifanya thread iwe active bila kujua
Haters gonna hateIgnore them
........
Maisha hayako fair![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nkiwa nibonge ntakua maskini ujue sitaweza kazi
Bora katika hili tumenyimwa uwezo ili Mungu aitwe Mungu.Maisha hayako fair
Kuna watu wanapenda kunenepa lakini hawanenepi halafu wengine wanataka kupungua lakini hawapungui
Nnashhukuru nninna kamwili kawa wasttanii tu
.......
Na wewe pia mkuu..usiku mwema wadau Mungu atulinde usiku huu na mabalaa yote na atuamshe salama hapo kesho kwa ajili ya utukufu wake ameeeen
Miss you mkuuNa wewe pia mkuu..
Nawe pia mkuuusiku mwema wadau Mungu atulinde usiku huu na mabalaa yote na atuamshe salama hapo kesho kwa ajili ya utukufu wake ameeeen
Haaahaaa, huo ndio ukweli wenyeweHaters wakikuona unatembea juu ya maji baharini wanasema hujui kuogelea wakati wao wanategemea mtumbwi
Maneno yao hayatusumbui ndo kwanza wanatusaidia kuifanya thread iwe active bila kujua
Haters gonna hateIgnore them
........
Hivi vyakula vya viwandani ni majanga![]()
Mnaomsema Le Mutuz Mungu anawaona
![]()
![]()
![]()
........
Na wewe pia mkuu!Udaku kama kawaida ...![]()
![]()
Tuwe na Siku njema wakuu ...
Morning TranscendMiss too brother! Am back now...
Morning to you all
MorningMiss too brother! Am back now...
Morning to you all