Makapuku Forum

Makapuku Forum

Una genes nzuri na metabolism ya mwendo kasi...

Ila kuna jamaa tulikuwa naye o'level alikuwa mwembamba kama fito naye alikuwa anajigamba kama wewe kuwa hata anywe mafuta kamwe hanenepi. Nimekuja kugongana naye mwaka jana maweeee! Hata akina Le Mutuz wawili wanaingia. Nikamuuliza "John what happened?". Jibu lake sasa " Kwani hata mimi najua basi?" Hata wewe mkuu jihadhari. Kunenepa rahisi kuponda kugumu
Mkuu kinachochangia ni pamoja ubize ni mkubwa na kulala masaa machache sana, siamini kama ntakaa nnenepe...hata hivyo sivutiwi na ubonge
 
Huyu leo kalikoroga. Sijui atamweleza nini Joanita!!!
100c1f655471baadb1f17257975cafaa.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom