Makapuku Forum

Makapuku Forum

Rudi nyuma huko Jana wakongwe wameanzisha thread "Hatimae matabaka yameingia Jf" na kuandika makorokoro na matusi kibao dhidi ya MAKAPUKU Mimi nilikuwa nawasoma tu ....
Sasa hivi Mods wameufunga na kuuleta hapa...si WLIZOEA KUBEBWA wakafikiri moderator atawakaushia TU...
.........................
Ule uzi ulikuwa hauwalengi kapuku'z pekee yake, bali ulikuwa unaongelea maisha halisi yanayoendelea hapa JF! Mtoa mada amejiunga mwaka juzi hivyo huwezi kusema na yeye ni mkongwe hapa JF.

Pia wachangiaji wengi walikuwa wanatoka pande zote (kapukuz, wakongwe na wasio na ufungamo wa upande wowote), hivyo basi ule uzi haukuwa na tatizo bali tatizo lilikuwa kwa wale waliokuwa wanauchangia kwa kuleta ligi za ajabu ajabu.

Wote tulikuwepo na pia tulijitahidi kujibu mapigo kadiri ya uwezo wetu na wao pia walifanya vivyo hivyo.
Lakini mwisho wa yote ni je, wamejifunza kitu au tumejifunza kitu kuhusiana na kilichokuwa kinaendelea?

kiwelu
 
5861e7f66c76305c0173e89f75501f49.jpg

Mkia Fc
...............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom