Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
kazi kweli kweli wachangiaji hawajatukana sio yule chizi aliyekua anawekaga avatar yangu kweliHamna, coz aliepost kasimama kama husband au shem![]()
kazi kweli kweli wachangiaji hawajatukana sio yule chizi aliyekua anawekaga avatar yangu kweliHamna, coz aliepost kasimama kama husband au shem![]()
aiseeWengine walikuwa wanakuombea na wengine wanakupa Hongera![]()
huyo mtu kanikosea sana ngoja nijue aliyeanzisha uo uzi
Ngoja aliesoma aka-save kichwani atueleze.Hamna alietukanakazi kweli kweli wachangiaji hawajatukana sio yule chizi aliyekua anawekaga avatar yangu kweli
ha ha sawa bana ila nahisi ni yule chizi aliyekua anaweka avatar yanguNgoja aliesoma aka-save kichwani atueleze.
Papaa kwan ulisoma mpk mwishoHamna alietukana
aiseeeeeHapana aisee mm sina mimba sijui nan huyo aliyeandika yaan jf nikiingia naingia uku makapuku nakutoka ndio sijaona
Yes, nilikuta ina post tatu tu, ilikuwa hapahapa CC hamna kashfaPapaa kwan ulisoma mpk mwisho

Loth ulikuta huo uzi?aiseeeee
Ahsante mkuuMakapuku kumekucha salama?? Tupitie vichwa vya habari![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwa udhaminii mnonooo wa Faru 'HADHIJA'![]()
acha tuaiseeeee
ha ha haYes, nilikuta ina post tatu tu, ilikuwa hapahapa CC hamna kashfa![]()
Ingekua ukweli Mkushi ningekubali![]()
![]()
kwan ni uwongo
Roho iliniuma SanaNdio mana kuna mtu alinipa dongo sijamuelewa kuwa kuna kashfa yangu nzito asee sijui nn kiliongelewa uko uo uzi ulikua lin

mkongo Na BangiNi habari niliikuta hapa jf nikawawekea link mkampe Hongera![]()

me nili laani kitendo hichoWengine walikuwa wanakuombea na wengine wanakupa Hongera![]()

Roho iliniuma Sana
Kutiwa mimba Shunie na mtu mwingine ambayo sio mm![]()
![]()
![]()