Hii pia inapatikana bukoba na mbeya teh!![]()
Ikiwa umefika Kilimanjaro na hujala ilo pishi basi hijafika Kilimanjaro
Faru John alikuwa anafanya uhuni tu mbugani halafu kawa supastaa
😀 😀 😀 😀
......

MWALIMU : ukiona msichana AMEZIMIA huduma ya kwanza inatakiwa umlaze Chali alafu uunganishe mdomo wake na wako umpulizie pumzi mdomoni huku unambonyeza kifuani taratibu... kuna mwenye swali ?
Deo: mwalimu Nauliza jinsi ya kufanya msichana azimie...?
huyu chizi kweliUtajiitaje Shimba/Simba bhana wakati Faru John ndo mnyama supastaaFARU JOHN? Bitoz vipi tena? FARU JOHN wajanja wameshamrestisha in peace. Unataka nami nirestishwe in peace? Kama ni hivyo ushindwe na ulegee!
Wazo lako ni zuri ila limechelewa kidogoRudi shule kijana![]()
![]()
![]()
Hapo ni iringa karibu na uwanja wa samora

Kwani ww maasai? Nimegundua ww ni mjeda fekiNakujaaa......vipi naruhusiwa kuja na sime yanguu???
Nikiwa nyumbani huwa napenda kutembea na sime........maana iko vizur ukiwa maeneo ya mabiboKwani ww maasai? Nimegundua ww ni mjeda feki
....
Nikiwa nyumbani huwa napenda kutembea na sime........maana iko vizur ukiwa maeneo ya mabibo
Aaaa wapi. Shimba ndiye mfalme wa pori wewe. Faru mbwembwe tu. Kapembe kenyewe kamoja halafu kanawindwa non stop.Utajiitaje Shimba/Simba bhana wakati Faru John ndo mnyama supastaa
😀 😀 😀
........



Server ikijaa comment hakuna gari linalotosha kuzibeba, hata gari moshi halitawezaServer zikijaa tutakushtua ulete gari ubebe comment zote ukazitupe
😀 😀 😀 😀
......

Hapo sasaUtajiitaje Shimba/Simba bhana wakati Faru John ndo mnyama supastaa
😀 😀 😀
........
Inawezekana akawa yeye huyo![]()
Njoo tu na sime yako
![]()
![]()
![]()
![]()
......