Makapuku Forum

Makapuku Forum

134c16ccc6c2ca1657688d3b540c24d7.jpg

Ikiwa umefika Kilimanjaro na hujala ilo pishi basi hijafika Kilimanjaro
Hii pia inapatikana bukoba na mbeya teh!
 
MWALIMU : ukiona msichana AMEZIMIA huduma ya kwanza inatakiwa umlaze Chali alafu uunganishe mdomo wake na wako umpulizie pumzi mdomoni huku unambonyeza kifuani taratibu... kuna mwenye swali ?

Deo: mwalimu Nauliza jinsi ya kufanya msichana azimie...?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu chizi kweli
 
Utajiitaje Shimba/Simba bhana wakati Faru John ndo mnyama supastaa
😀 😀 😀
........
Aaaa wapi. Shimba ndiye mfalme wa pori wewe. Faru mbwembwe tu. Kapembe kenyewe kamoja halafu kanawindwa non stop.

Huyu FARU JOHN anatumika kisiasa tu na muda wake ukipita hutamsikia tena akitajwa. Kwa sasa anajifanya ana umuhimu mkubwa kuliko hata akina Ben Saanane. Just wait and see[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Samahan!! Hivi ulikumbuka kumwambia Jumatatu aende kwa Jumanne kumuuliza Jumatano kama Alhamisi alimwambia Ijumaa amweleze Jumamosi kuwa Jumapili ni CHRISMAS?
 
Back
Top Bottom