Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,636
- 4,420
teh teh teh.. safari zimefungiwaHivi ni wangapi mnaenda mikoani au mmekwisha fika
teh teh teh.. safari zimefungiwaHivi ni wangapi mnaenda mikoani au mmekwisha fika
Imejaaaa kwa wote..amani kwenu makapuku wote



X MAS OFFER:
Natoa offer kwa watu 10 waje Mabibo Beach kula pilau la kambale mixer mbilimbi,pia kutakuwa na togwa,juisi ya miwa,mapapai na maparachichi ya Mabibo Sokoni(Mahakama ya ndizi)
Masharti:
*Chakula kitaliwa bila kunawa mikono
*Usiwe bishoo wala sista duh
*Uwe na uwezo wa kuvumilia harufu ya kimba la pale mabwawani
*Uwe na uwezo wa kupambana na panya road
*Ni lazima uhudhurie mkesha wa kigodoro
Karibuni
![]()
![]()
![]()
![]()
.......



Itabibidi mwakani ujiite FARU JOHN YA BUYENZEUkubwa huja kwa njia nyingi. Mwaka ujao tuweke malengo ya kupunguza madhambi yetu hasa yale ya makusudi kama hili la kulala nje![]()
Moro mbali, kibaha tu ni MkoaniWat du yu min?.....ukiwa Dar alie Moro yupo mkoani hata kama ni Mangi mwenzio.....![]()
Hahahahaaa Zeroooo

Ukubwa huja kwa njia nyingi. Mwaka ujao tuweke malengo ya kupunguza madhambi yetu hasa yale ya makusudi kama hili la kulala nje![]()
kweli asee, jamaa anajuta baada ya kula viazi vitamu ndio akili zinamrudia
SureMoro mbali, kibaha tu ni Mkoani
Usafiri je?X MAS OFFER:
Natoa offer kwa watu 10 waje Mabibo Beach kula pilau la kambale mixer mbilimbi,pia kutakuwa na togwa,juisi ya miwa,mapapai na maparachichi ya Mabibo Sokoni(Mahakama ya ndizi)
Masharti:
*Chakula kitaliwa bila kunawa mikono
*Usiwe bishoo wala sista duh
*Uwe na uwezo wa kuvumilia harufu ya kimba la pale mabwawani
*Uwe na uwezo wa kupambana na panya road
*Ni lazima uhudhurie mkesha wa kigodoro
Karibuni
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Server zikijaa tutakushtua ulete gari ubebe comment zote ukazitupeHaya ma kapuku, yana bidii sana, mwisho sever yetu itajaa!!
![]()
![]()
![]()
![]()