Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,636
- 4,421
teh teh teh.. safari zimefungiwaHivi ni wangapi mnaenda mikoani au mmekwisha fika
teh teh teh.. safari zimefungiwaHivi ni wangapi mnaenda mikoani au mmekwisha fika
Mmmh kumbe nilijiongezaaa ...[emoji4][emoji4][emoji4]Sina maana hiyo[emoji3]
Imejaaaa kwa wote..amani kwenu makapuku wote
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji46][emoji46][emoji46]X MAS OFFER:
Natoa offer kwa watu 10 waje Mabibo Beach kula pilau la kambale mixer mbilimbi,pia kutakuwa na togwa,juisi ya miwa,mapapai na maparachichi ya Mabibo Sokoni(Mahakama ya ndizi)
Masharti:
*Chakula kitaliwa bila kunawa mikono
*Usiwe bishoo wala sista duh
*Uwe na uwezo wa kuvumilia harufu ya kimba la pale mabwawani
*Uwe na uwezo wa kupambana na panya road
*Ni lazima uhudhurie mkesha wa kigodoro
Karibuni
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
.......
Itabibidi mwakani ujiite FARU JOHN YA BUYENZEUkubwa huja kwa njia nyingi. Mwaka ujao tuweke malengo ya kupunguza madhambi yetu hasa yale ya makusudi kama hili la kulala nje [emoji23][emoji23][emoji23]![]()
Kamanda wa JKT [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Pamoja sana kamanda wangu[emoji111]
Moro mbali, kibaha tu ni MkoaniWat du yu min?.....ukiwa Dar alie Moro yupo mkoani hata kama ni Mangi mwenzio.....[emoji3]
Hahahahaaa Zeroooo
[emoji111] kweli asee, jamaa anajuta baada ya kula viazi vitamu ndio akili zinamrudia[emoji3]Ukubwa huja kwa njia nyingi. Mwaka ujao tuweke malengo ya kupunguza madhambi yetu hasa yale ya makusudi kama hili la kulala nje [emoji23][emoji23][emoji23]![]()
SureMoro mbali, kibaha tu ni Mkoani
Usafiri je?X MAS OFFER:
Natoa offer kwa watu 10 waje Mabibo Beach kula pilau la kambale mixer mbilimbi,pia kutakuwa na togwa,juisi ya miwa,mapapai na maparachichi ya Mabibo Sokoni(Mahakama ya ndizi)
Masharti:
*Chakula kitaliwa bila kunawa mikono
*Usiwe bishoo wala sista duh
*Uwe na uwezo wa kuvumilia harufu ya kimba la pale mabwawani
*Uwe na uwezo wa kupambana na panya road
*Ni lazima uhudhurie mkesha wa kigodoro
Karibuni
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
.......
Server zikijaa tutakushtua ulete gari ubebe comment zote ukazitupeHaya ma kapuku, yana bidii sana, mwisho sever yetu itajaa!!
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]