Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20161212-WA0005.jpg
 
Aaaa wapi. Shimba ndiye mfalme wa pori wewe. Faru mbwembwe tu. Kapembe kenyewe kamoja halafu kanawindwa non stop.

Huyu FARU JOHN anatumika kisiasa tu na muda wake ukipita hutamsikia tena akitajwa. Kwa sasa anajifanya ana umuhimu mkubwa kuliko hata akina Ben Saanane. Just wait and see
FARU JOHN YA BUYENZE

................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom