shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Morning LeeMorning all family...
Morning LeeMorning all family...
Mambo niajeeeNipo shululu
MwoneImekubalii........sasa hivi napata notification kama kawa

Tatizo me nalikuwa najua asilimia mia akimaanisha mwisho ni 100%........sasa anaesema zaidi ya asilimia mia inamaana asilimia ni zaidi ya mia kwa mfano 1001% 200%
asilimia elfu moja na mojaEwaa mutu somi sana veve!!!Hakuna zaidi ya asilimia mia
Kuna mtu nilimsikia akisema hayo maneno![]()
asilimia elfu moja na moja
Pamoja sana kamanda wangu![]()
![]()
Shukran sana mutu ya congo

Wat du yu min?.....ukiwa Dar alie Moro yupo mkoani hata kama ni Mangi mwenzio.....Hivi ni wangapi mnaenda mikoani au mmekwisha fika

Kwenye hesabu za uchumi ndiko nimesikia asilimia zaidi ya miaKuna mtu nilimsikia akisema hayo maneno
Kwenye hesabu za uchumi ndiko nimesikia asilimia zaidi ya mia




unamaanishaa tiiiiaaaaraaaaaaeeeiiii???Kwenye hesabu za uchumi ndiko nimesikia asilimia zaidi ya mia
itabidi nirudi shule kusoma tena hesabu.,...Maana nilikuwa najiona mwamba kwenye hilo somo kumbe kuna vitu nimerukaa
......au ndio maana nilikosea kutegua 
Sina maana hiyounamaanishaa tiiiiaaaaraaaaaaeeeiiii???

![]()
![]()
itabidi nirudi shule kusoma tena hesabu.,...Maana nilikuwa najiona mwamba kwenye hilo somo kumbe kuna vitu nimerukaa
![]()
......au ndio maana nilikosea kutegua
![]()
iko hivi kama sabuni inauzwa jiti halafu ikapanda ikauzwa jiti mbili na fisi tunasema ongezeko la gharama kwa asilimia 150