shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Morning LeeMorning all family...
Morning LeeMorning all family...
Mambo niajeeeNipo shululu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kale kaaskari kakipataga bando la chuo ni shida
😀 😀 😀
.......
Mwone[emoji22]Imekubalii........sasa hivi napata notification kama kawa
[emoji115] [emoji23] asilimia elfu moja na mojaTatizo me nalikuwa najua asilimia mia akimaanisha mwisho ni 100%........sasa anaesema zaidi ya asilimia mia inamaana asilimia ni zaidi ya mia kwa mfano 1001% 200%
Ewaa mutu somi sana veve!!!Hakuna zaidi ya asilimia mia
Waaoh!!! Shemela [emoji15] [emoji15]Wapendwa...... Nimewamiss sana...
Habari zenu??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Shukran sana mutu ya congoMwone[emoji22]
Kuna mtu nilimsikia akisema hayo maneno[emoji115] [emoji23] asilimia elfu moja na moja
Pamoja sana kamanda wangu[emoji111][emoji23] [emoji23] [emoji23] Shukran sana mutu ya congo
Wat du yu min?.....ukiwa Dar alie Moro yupo mkoani hata kama ni Mangi mwenzio.....[emoji3]Hivi ni wangapi mnaenda mikoani au mmekwisha fika
Kwenye hesabu za uchumi ndiko nimesikia asilimia zaidi ya miaKuna mtu nilimsikia akisema hayo maneno
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51] unamaanishaa tiiiiaaaaraaaaaaeeeiiii???Kwenye hesabu za uchumi ndiko nimesikia asilimia zaidi ya mia
[emoji15] [emoji15] [emoji15] itabidi nirudi shule kusoma tena hesabu.,...Maana nilikuwa najiona mwamba kwenye hilo somo kumbe kuna vitu nimerukaa[emoji61] [emoji61] ......au ndio maana nilikosea kutegua [emoji378]Kwenye hesabu za uchumi ndiko nimesikia asilimia zaidi ya mia
Sina maana hiyo[emoji3][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51] unamaanishaa tiiiiaaaaraaaaaaeeeiiii???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] iko hivi kama sabuni inauzwa jiti halafu ikapanda ikauzwa jiti mbili na fisi tunasema ongezeko la gharama kwa asilimia 150[emoji12][emoji15] [emoji15] [emoji15] itabidi nirudi shule kusoma tena hesabu.,...Maana nilikuwa najiona mwamba kwenye hilo somo kumbe kuna vitu nimerukaa[emoji61] [emoji61] ......au ndio maana nilikosea kutegua [emoji378]