Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20161219-WA0010.jpg
 
X MAS OFFER:
Natoa offer kwa watu 10 waje Mabibo Beach kula pilau la kambale mixer mbilimbi,pia kutakuwa na togwa,juisi ya miwa,mapapai na maparachichi ya Mabibo Sokoni(Mahakama ya ndizi)

Masharti:
*Chakula kitaliwa bila kunawa mikono
*Usiwe bishoo wala sista duh
*Uwe na uwezo wa kuvumilia harufu ya kimba la pale mabwawani
*Uwe na uwezo wa kupambana na panya road
*Ni lazima uhudhurie mkesha wa kigodoro

Karibuni

.......
Nakujaaa......vipi naruhusiwa kuja na sime yanguu???
 
Ni Iringa au wapi huko? Si ajabu wanamtaka huyu mbwa wakampiganishe na mbwa wengine huko mitaani. Dog fighting competition za mitaani hizi. Wakati mwingine majogoo wanapambanishwa. Kule vijijini ilikuwa madume ya ng'ombe. Utoto una raha zake!
Hapo sipajui nikicheki tofali zimepigwa kwa mchanga tu na saruji kama T.A au Singapore na Pwani

Em shululu okoa jahazi hapa, ni Iringa hapa???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom