Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,165
*Dah!!! vitoto vingine vinaumbua sana*
Tulikua kwenye daladala, mtoto mmoja akamuuliza mama yake, *mama tunaenda wapi na hatujaoga*?
Dereva imembidi asimamishe gari tucheke kwanza![]()

Wanafuta ujinga![]()
![]()
![]()
hakuna shule hapo
April 9, 2017 kutakuwa birth day ya makapu
Bailly5, Apr 9, 2016, JF Chit-Chat
1,274,489
128,296
Ebu msomeke. [HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]

Ah kumbe!Uninstall then download U-Install upya
Hamia kabisaNimekalibia jamaan
Mkuu kwani kunawatu wana negativity na uzi huu????Tatizo umekuja huku ukiwa umejazwa negativity za uzi huu, hebu jaribu kufanya kautafiti chako upate majibu

hakuna bana tulikua tunawasifia tuMkuu kwani kunawatu wana negativity na uzi huu????![]()
![]()
Wamejaaa tele kuleeeMkuu kwani kunawatu wana negativity na uzi huu????![]()
![]()
ha ha haHamia kabisa
Hamia tu huku![]()
![]()
Upo mamiiha ha ha
Hapa utakutana na haka kaneno
"Server not found"
Hapo ndo utakumbuka malaika wa Magufuri
ameshuka.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
not possible mkuuHa ha bhangi noma
Ahaaaaaaaaha mkuuu na apo makapuku wenzetu wameadimikaaMakapuku kiboko. Yaani sijaingia huku 4 days kuna zaidi ya comment 300. Hii ni hatari
Ata kwa kumwangalia tu usoni. Mshikaji ni very innocent
Umetukumbukaa tenà??hakuna bana tulikua tunawasifia tu