Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimegundua saga la Melo limewafanya mods wawe na hasira badala ya woga

Now thread za kumchana Faru John zinaachwa tu....ht reply za kuwachamba kina FaizerFix hazifutwi....watu wanachanwa had I misamba halafu NO BAN tofauti na zamani

........
 
tapatalk_1481806484312.jpeg
 
*Dah!!! vitoto vingine vinaumbua sana*

Tulikua kwenye daladala, mtoto mmoja akamuuliza mama yake, *mama tunaenda wapi na hatujaoga*?

Dereva imembidi asimamishe gari tucheke kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom