Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Sana siku tunaamka tunakuta jf hamnaTuendako pabaya sana
mm pia kaka akeeIko poa sana, ni furaha yangu kukuona tena
Hapa utakutana na haka kanenoBailly5 ww ndio founder wa makapuku




Shunie haobpanya kwa ajili yakoUnamuogopa Faru John nini....ww na Jimena ni waanzilishi wenza pia.....mnatafutwa muunganishwe na Melo maana KF ni mjukuu wa JF 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂
hagopwi mtu hapa
Punguza maneno....hapa ni free leta swaga za kijanja 😀 😀 😀 😀Kwa Mimi kushiri ktk makapuku forum inamaana na Mimi ni KAPUKU?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unamuogopa Faru John nini....ww na Jimena ni waanzilishi wenza pia.....mnatafutwa muunganishwe na Melo maana KF ni mjukuu wa JF 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂





Hapa utakutana na haka kaneno
"Server not found"
Hapo ndo utakumbuka malaika wa Magufuri
ameshuka.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mimi nashinda bwawani Mabibo Beach km kambale niliona ht Sungusungu tu nazama majini 😀 😀 😀 😀![]()
![]()
hagopwi mtu hapa
![]()
Nimejipanga aisee
hapana mm sio mmakondeNimekuletea leo zawadi ulee
me nawaogopa haooMimi nashinda bwawani Mabibo Beach km kambale niliona ht Sungusungu tu nazama majini 😀 😀 😀 😀
watakufata huko huko
na hao jeee![]()
![]()
na hao jeee
Kwan wamakonde ndo wala panya
Mbona una swaga za kizushi km vipi nenda Wakongwe Forum ndo sehemu ya kutupia tu matakataka 😀 😀 😀 😀 😀 😀![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
me nawaogopa haoo