Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

Kwa udhamini mnono wa Albamu ya Thriller ya Wacko Jacko, nichukue fursa hii kuwaaga rasmi kuwa hii ndio " Leo katika Historia " ya mwisho kabisa toka kwa Mussolin5.

Segment hii imedumu kwa miezi kama mitano, hivyo kutokana na majukumu kunibana, nimpishe mwingine aendeleze segment hii pendwa. Nashukuru kwa ushirikiano wenu wote kwa kipindi chote hiko. Shukrani za pekee zimuendee mzee picha Bitoz ambaye alikuwa ananogesha segment hii kwa picha mujarabu.

Nitaendelea kubaki Kapuku Forum coz Once a Kapuku, Always Kapuku.

Niwatakie siku njema kwenu.
Asante sana kwa leo katika historia bora kabisa na wewe pia siku njema mkuu mussolin
 
Mmesikia ajali huko Colombia ndege tenye abiria 81 wakiwepo wacheAji wa klabu fulani ta Brazil imeanguka na waliopona ni 6 tu

Mchezaji aliyenuaurika ni mmoja tu ambayo ni beki

Man Utd iliwahi kupatwa na balaa km hilo
......
Very sad yaan.. Halaf walikuwa wanaenda kwrnye game ya failnali ya copa sudamerica.. Kipa kafia hospital.. Wachezaj watatu walikuwa wameachwa home..
 
Very sad yaan.. Halaf walikuwa wanaenda kwrnye game ya failnali ya copa sudamerica.. Kipa kafia hospital.. Wachezaj watatu walikuwa wameachwa home..
Timu pinzani ishaomba marehemu wapewe kombe kwa akili ya kuwaenzi
Wamekufa wachezaji 22
Ambao hawakusafiri ni wa3 tu
Kwenye ajali kanusurika m1 sijui wa2

Timu za Brazil zimekubaliana kuwapa wachezaji bure
......
 
1960 - Gary Linaker anazaliwa.

Staa wa zamani wa timu za Leicester City, Tottenham na timu ya taifa ya England.

Anashikilia rekodi ya pekee ya kutowahi kupewa kadi ya aina yoyote katika Career yake ya soka.

Ni mfungaji wa tatu kwa historia katika timu ya taifa ya England akiwa na magoli 48.

Kwasasa ni mchambuzi maarufu wa soka katika BBC Match oF The Day.
Duh!! Lineker katisha hapa
 
Leo katika Historia:

Kwa udhamini mnono wa Albamu ya Thriller ya Wacko Jacko, nichukue fursa hii kuwaaga rasmi kuwa hii ndio " Leo katika Historia " ya mwisho kabisa toka kwa Mussolin5.

Segment hii imedumu kwa miezi kama mitano, hivyo kutokana na majukumu kunibana, nimpishe mwingine aendeleze segment hii pendwa. Nashukuru kwa ushirikiano wenu wote kwa kipindi chote hiko. Shukrani za pekee zimuendee mzee picha Bitoz ambaye alikuwa ananogesha segment hii kwa picha mujarabu.

Nitaendelea kubaki Kapuku Forum coz Once a Kapuku, Always Kapuku.

Niwatakie siku njema kwenu.
Dah!! So sad!! Wish u all the best, tunaheshim maamuz yako kama vile ulivyotuheshimu na kutuonesha upendo ndani ya muda wote huu..

Much respect kwako kaka..
 
Timu pinzani ishaomba marehemu wapewe kombe kwa akili ya kuwaenzi
Wamekufa wachezaji 22
Ambao hawakusafiri ni wa3 tu
Kwenye ajali kanusurika m1 sijui wa2

Timu za Brazil zimekubaliana kuwapa wachezaji bure
......
Nimependa uungwana wa wapinzan, jana wakat nasoma habar ya kuwapa kombe imeonesha ni jinsi gani wenzetu walivyokuwa kisoka zaid.. Sidhan km ingetokea kwetu ingekuwa hv..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom