Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Yes shemla. Habari yako lakini....Iz yu yuu???![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yes shemla. Habari yako lakini....Iz yu yuu???![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mambo yanaenda??Miss you too jj
Yanasonga sana, nilikuwa kwa zamu yako, ukiwa free nijuze niachie kitiMambo yanaenda??
Usijali, songesha gurudumu, nikiwa sawa ntakujulishaYanasonga sana, nilikuwa kwa zamu yako, ukiwa free nijuze niachie kiti
Usijali, songesha gurudumu, nikiwa sawa ntakujulisha

KK ElevenHata team ya zambia ilishawahi kupatwa na janga hilo na wachezaji wote wakafariki
Senkyu vere machiWengine majukumu, wengine mb, wengine ndo hivyo tena, watakuja usijali hata wew ulipotea
Niaje mzeiya?Mambo niajeee
![]()
![]()
nilisha sahau kama na mimi nilipotea.....sema tuko pamoja
![]()
![]()

Yes shemla. Habari yako lakini....
Mungu ananilinda.....za weye?Me now ndo naingia mtandaoni, thanks for the news TozMmesikia ajali huko Colombia ndege tenye abiria 81 wakiwepo wacheAji wa klabu fulani ta Brazil imeanguka na waliopona ni 6 tu
Mchezaji aliyenuaurika ni mmoja tu ambayo ni beki
Man Utd iliwahi kupatwa na balaa km hilo
......

Lilikuwa Bonge la Timu ya Taifa!!!Hata team ya zambia ilishawahi kupatwa na janga hilo na wachezaji wote wakafariki

Jerry inakuwaje?