shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Hongera kwa majukumu nawePoleni na majukumu makapuku wenzangu
Hongera kwa majukumu nawePoleni na majukumu makapuku wenzangu
Wabongo ni shida sana
Nimekutana polisi mjini wakaniuliza mbona unatembea usiku? Nami nikawauliza kwani usiku watu wanaogelea?.
Sasa hivi nipo zangu kwenye defender yao nafikiri wananipeleka nyumbani
![]()

Wengine hatupendi kukatwakatwa sh 100Sorry ila niko siliasi wakuu kwa yeyote anayetumia caller tune "mbele kwa mbele " wimbo maarufu kipindi maalum naomba anipm nimpigie niupate ili nianze kuutumia
Moja kati ya mabeki niliokuwa nawakubali EPL kando ya Nemanja Vidic.Bahati mbaya yake ni majeruhi muda mwingi sana
Alikuwa vizuri sana, na epl msimu wake wa kwanza alipaform sanaMoja kati ya mabeki niliokuwa nawakubali EPL kando ya Nemanja Vidic.
Za jioni makapuku
UchwaraThanks dikteta
Milembe?Ndio unakaribia..........![]()
![]()
![]()
![]()
Sio kidogoWabongo ni shida sana
Yanini ulipie wew asikilize mwingine?Wengine hatupendi kukatwakatwa sh 100
Ni hivyoYanini ulipie wew asikilize mwingine?
Mimi SimoMilembe?
Umetoka lini huko milembe!!!Mimi Simo
Sio kwa mimiNi hivyo
Hata mimiSio kwa mimi
SaaaafiiHata mimi