Makapuku Forum

1983 - Philip Lahm anazaliwa.

Beki wa kulia wa klabu ya Bayern Munich.

Ametwaa Kombe la Dunia mwaka 2014 akiwa nahodha wa Ujerumani.

Pia ametwaa ubingwa wa Ulaya mwaka 2013 akiwa na klabu yake ya Bayern.

Ni zao la akademi ya Bayern Munich na hajawahi kuhama klabu.

Mmoja kati ya wachezaji wachache wenye nidhamu ya hali ya juu kwani hajawahi kabisa kupewa kadi nyekundu licha ya kucheza kwenye idara ya Ulinzi.

Kwangu mimi huyu ni shujaa asiyeimbwa kwani amekuwa nyuma ya mafanikio ya klabu na timu yake ya taifa, hapewi sifa anazostahili. ( He is so underrated )
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…