Asante sana kwa neno nilipoona huu Mstari umeflash juu ya Uzi ukanibariki ukanifanya niingie humu,nawasalimu makapuku wote .....siku hizi bize Hata kuingia humu imekuwa shida,Hongereni sana Uzi mnautendea haki
Asante sana kwa neno nilipoona huu Mstari umeflash juu ya Uzi ukanibariki ukanifanya niingie humu,nawasalimu makapuku wote .....siku hizi bize Hata kuingia shida humu shida,Hongereni sana Uzi mnautendea haki
Ametwaa Kombe la Dunia mwaka 2014 akiwa nahodha wa Ujerumani.
Pia ametwaa ubingwa wa Ulaya mwaka 2013 akiwa na klabu yake ya Bayern.
Ni zao la akademi ya Bayern Munich na hajawahi kuhama klabu.
Mmoja kati ya wachezaji wachache wenye nidhamu ya hali ya juu kwani hajawahi kabisa kupewa kadi nyekundu licha ya kucheza kwenye idara ya Ulinzi.
Kwangu mimi huyu ni shujaa asiyeimbwa kwani amekuwa nyuma ya mafanikio ya klabu na timu yake ya taifa, hapewi sifa anazostahili. ( He is so underrated )