Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Nov 8, 2016 #125,121 Mussolin5 said: Kweli mkuu...Lakini pia Nixon pamoja na kushindwa hakukata tamaa mpaka alipokuja kushinda miaka 8 mbele. Click to expand... Hata mwaka huu mtu akishindwa atakubali na maisha yataendelea Tatizo Afrika njaa Kali Ubunge tu watu hawakubali ......
Mussolin5 said: Kweli mkuu...Lakini pia Nixon pamoja na kushindwa hakukata tamaa mpaka alipokuja kushinda miaka 8 mbele. Click to expand... Hata mwaka huu mtu akishindwa atakubali na maisha yataendelea Tatizo Afrika njaa Kali Ubunge tu watu hawakubali ......
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Nov 8, 2016 #125,122 Bitoz said: Chicharito ....... Click to expand... Huyu nae alisumbua sana
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Nov 8, 2016 #125,123 Mussolin5 said: Huu wa sasa kuna mtu ataachwa kwa gap kubwa kidogo nadhani unamjua... Click to expand... Clinton
Mussolin5 said: Huu wa sasa kuna mtu ataachwa kwa gap kubwa kidogo nadhani unamjua... Click to expand... Clinton
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Nov 8, 2016 #125,124 The Book said: Hi guyz Click to expand... Hello Kitabu
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Nov 8, 2016 #125,125 QUIGLEY said: Mkuu mambo! Click to expand... Poa mkuu, habari ya pande hizo?
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Nov 8, 2016 #125,126 Bitoz said: Kumbuka tofauti ya muda kwetu na USA ni km Massa 6 sisi yupo mbele hivyo muda huu kwao bado hawajaamka na kupiga kura ........ Click to expand... Ni kweli kabisa, hata wao wenyewe tu baadhi ya majimbo yanatofautiana muda
Bitoz said: Kumbuka tofauti ya muda kwetu na USA ni km Massa 6 sisi yupo mbele hivyo muda huu kwao bado hawajaamka na kupiga kura ........ Click to expand... Ni kweli kabisa, hata wao wenyewe tu baadhi ya majimbo yanatofautiana muda
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Nov 8, 2016 #125,127 jonax said: Nmekuwa sipati notification kabisa, sasa sijui ni uninstall jf alaf nii-download tena? Click to expand... Nilidhani inatokea kwangu tu hii kitu..
jonax said: Nmekuwa sipati notification kabisa, sasa sijui ni uninstall jf alaf nii-download tena? Click to expand... Nilidhani inatokea kwangu tu hii kitu..
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Nov 8, 2016 #125,128 QUIGLEY said: Mara chache ndg Click to expand... Porini huku ndugu hata network ya kusuasua
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Nov 8, 2016 #125,129 Jimena said: Asante na kwako pia briz Click to expand... Niajezzz??
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Nov 8, 2016 #125,130 shululu said: Nzuri tu, vp huko Click to expand... Kwema tu ankali
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Nov 8, 2016 #125,131 Bitoz said: Akishinda domokaya Trump sitafuatilia siasa za USA ..... Click to expand... Duh!! Kwanini??
Bitoz said: Akishinda domokaya Trump sitafuatilia siasa za USA ..... Click to expand... Duh!! Kwanini??
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Nov 8, 2016 #125,132 Mussolin5 said: Bado, ungekuwa huku kwetu Lubuva angekuwa man of the match. Click to expand... Hahahah hapa ni undava tu kwa kwenda mbele.. Lubuva ana uwezo wa kubadili gia angani,nchi ya maajabu hii
Mussolin5 said: Bado, ungekuwa huku kwetu Lubuva angekuwa man of the match. Click to expand... Hahahah hapa ni undava tu kwa kwenda mbele.. Lubuva ana uwezo wa kubadili gia angani,nchi ya maajabu hii
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Nov 8, 2016 #125,133 The Book said: Hi guyz Click to expand... Milembe pamekubana sana aisee
Sinoni JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 7,043 Reaction score 12,527 Nov 8, 2016 #125,134 briz said: Duh!! Kwanini?? Click to expand... Vipi mkuu , habari za muda?
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Nov 8, 2016 #125,135 Bitoz said: Hata mwaka huu mtu akishindwa atakubali na maisha yataendelea Tatizo Afrika njaa Kali Ubunge tu watu hawakubali ...... Click to expand... Mpaka Leo Kuna kesi nyingi tu za kupinga matokeo
Bitoz said: Hata mwaka huu mtu akishindwa atakubali na maisha yataendelea Tatizo Afrika njaa Kali Ubunge tu watu hawakubali ...... Click to expand... Mpaka Leo Kuna kesi nyingi tu za kupinga matokeo
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Nov 8, 2016 #125,136 briz said: Kwema tu ankali Click to expand... Pamoja sana
briz JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 4,275 Reaction score 19,110 Nov 8, 2016 #125,137 MANDELAA KIWELU said: Vipi mkuu , habari za muda? Click to expand... Kwema mkuu, umeadimika sana
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,652 Reaction score 25,849 Nov 8, 2016 #125,138 shululu said: Sasa imekubali Click to expand... Nmeifuta na kuidownload tena, ila naona tatizo liko pale pale
shululu said: Sasa imekubali Click to expand... Nmeifuta na kuidownload tena, ila naona tatizo liko pale pale
Iyegu JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 6,276 Reaction score 12,424 Nov 8, 2016 #125,139 shululu said: Milembe pamekubana sana aisee Click to expand... wenzio wanasema urudi huku.
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Nov 8, 2016 #125,140 jonax said: Nmeifuta na kuidownload tena, ila naona tatizo liko pale pale Click to expand... Mimi kwangu iko poa kabisa tangu asubuhi
jonax said: Nmeifuta na kuidownload tena, ila naona tatizo liko pale pale Click to expand... Mimi kwangu iko poa kabisa tangu asubuhi