Makapuku Forum

Makapuku Forum

kuanzia sasa ntafollow your steps
Issue serious pekee ndo natumia e.mail orijino

Mitandaoni kutumia e.mail orijino inahatarisha pia mambo yako mfano FB mtu anaweza "kuingilia akaunti yako" kiulaini
Hivyo mitandao yote huwa nawekaga feki/najitungia tu na huwa haigomi kusign in
......
 
Poa sana,
Hivi nyie wote leo mnapata hili tatizo la notification zinakuja moja kwa moja kwenye email badala ya kwenye application??
Kama kuna mwenye namba ya mods naomba anipe niwapigie now tafadhali???
Mh hao mods hata ID zao tu sizijui ndo sembuse namba afu email nliyotumiaga jf sijawah hata kuifungua sijui kama bado ina-exist, kwani hilo tatizo la email ni wakati unatimia app tu au hata browser?
 
Mh hao mods hata ID zao tu sizijui ndo sembuse namba afu email nliyotumiaga jf sijawah hata kuifungua sijui kama bado ina-exist, kwani hilo tatizo la email ni wakati unatimia app tu au hata browser?
Hahahahahaha
Imeanza leo.
Notification zilikata siku chache zilizopita ila nikapuuzia sasa Leo mchana nikashangaa kila sana kuna email mpya nikicheki nakuta ni ya JF yani ilinikera mno. Sasa nimewareport kuwa ni spam
 
2cd5e55059c22b93d3baac2b95df46aa.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom