Makapuku Forum

Makapuku Forum

Weka picha yake kwanza ili tuongee kwa vitendo
9430eb7a1b53d6b46c308ce3f8b521ae.jpg
806e6e36b567df37bbbb791874ba312f.jpg
 
Wote tunatumia muda mmoja
Ina maana taarifa ya habari ITV wanaona SAA 1 kwa saa zao ?

Ninachojua tunatofautiana muda wa jua kuzama/kuchomoza sehemu nyingi tu Tz lakini wote tunatumia One Time Zone
...........
Ukitaka kujua nenda na smartphone, ukifika Ngara inarudi saa moja nyuma au manyovu kigoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom