Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Hapo sasaWkt Tz nzima tunatumia One Time Zone .....nchi yetu ina umbo la kusimama(urefu) wkt marekani umbo la kulala(upana)
.....
![]()
![]()
![]()
Hapo sasaWkt Tz nzima tunatumia One Time Zone .....nchi yetu ina umbo la kusimama(urefu) wkt marekani umbo la kulala(upana)
.....
![]()
![]()
![]()
Weka picha yake kwanza ili tuongee kwa vitendoVipi kuhusu Theo Walcott
......
Halafu hata misimu ikibadilika Tanzania saa ziko vile vileWkt Tz nzima tunatumia One Time Zone .....nchi yetu ina umbo la kusimama(urefu) wkt marekani umbo la kulala(upana)
.....
![]()
![]()
![]()

Runasuburi wazungu waje kuishi tenaHalafu hata misimu ikibadilika Tanzania saa ziko vile vile![]()
Kwakweli Walcott nae ni shida nyingine
Tunasuburi wazungu waje kuishi tena
....
Kigoma na maeneo ya mkoa wa Kagera, hasa Ngara tunatofauti ya saa 1Wkt Tz nzima tunatumia One Time Zone .....nchi yetu ina umbo la kusimama(urefu) wkt marekani umbo la kulala(upana)
.....
![]()
![]()
![]()
Watakuja tuRunasuburi wazungu waje kuishi tena
....
Wote tunatumia muda mmojaKigoma na maeneo ya mkoa wa Kagera, hasa Ngara tunatofauti ya saa 1
Ukitaka kujua nenda na smartphone, ukifika Ngara inarudi saa moja nyuma au manyovu kigomaWote tunatumia muda mmoja
Ina maana taarifa ya habari ITV wanaona SAA 1 kwa saa zao ?
Ninachojua tunatofautiana muda wa jua kuzama/kuchomoza sehemu nyingi tu Tz lakini wote tunatumia One Time Zone
...........
Mi nimefika KigomaUkitaka kujua nenda na smartphone, ukifika Ngara inarudi saa moja nyuma au manyovu kigoma
Bado, ungekuwa huku kwetu Lubuva angekuwa man of the match.Na leo vipi bado hajashinda mtu huko kati ya trump na yule mama?
Kweli mkuu...Lakini pia Nixon pamoja na kushindwa hakukata tamaa mpaka alipokuja kushinda miaka 8 mbele.Ushindi wa JFK ingekuwa ni Afrika full machafuko
Mwisho ingeundwa Serikali ya Umoja wa kitaifa
![]()
![]()
![]()
![]()
........
pamoja mkuuAsante sana kwa historia
Magazeti hayatakuwepo siku ya Leo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu
Huu wa sasa kuna mtu ataachwa kwa gap kubwa kidogo nadhani unamjua...Je unaweza kufanana na huu wa sasa
Tuko pamoja mkuu...Asante sana kwa leo katika historia Mkuu mussolin
Kwakweli Walcott nae ni shida nyingine
Manake sio u-handsome huo