briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Mbichi ndio wako wanaochemsha lakini mi napenda mbichiMbichi au?
Mbichi ndio wako wanaochemsha lakini mi napenda mbichiMbichi au?
baseballDuh hii nayo ni kali kabisa, ilikua ni soccer ama basketball?
Za kuchemsha ni tamu sanaMbichi ndio wako wanaochemsha lakini mi napenda mbichi
utakuwa mfano wa kuigwa kama marehemu Fulikunjombe, Mungu am-R.I.P.
Dah! wanaludewa hawawezi kulisahau hilo jembe
Dictator u mzima?baseball
Watu wafanye kazi tuIkiwa nchi nzima hali ni tete huko ndo kabsaa
Kwani alikuwa hanja? .....naskia utemi ndio ilikuwa sifa yake miksa pombe nadhani ndizo zimemgharimu!!!Alizidisha wizi na ubabe.
Ni kweli lakini mbichi zinakua bado na nutrients kwa asilimia 100Za kuchemsha ni tamu sana
Kama ni baseball ni sawa kabisa mana sidhani kama ni soccer yangefikia hapobaseball
Unaongeza Salio!!! .....atakomaMbichi ndio wako wanaochemsha lakini mi napenda mbichi

Ndio hivyo mkuu watu hawaioni kabisa shilingiIkiwa nchi nzima hali ni tete huko ndo kabsaa
Hata mi naskia huyu jamaa alishakua anja sanaAlizidisha wizi na ubabe.
Jamaa alikuwa na kikundi chake cha watoto anawatuma kuiba.Kwani alikuwa hanja? .....naskia utemi ndio ilikuwa sifa yake miksa pombe nadhani ndizo zimemgharimu!!!
Basi alikuwa mtu wa hatari sanaJamaa alikuwa na kikundi chake cha watoto anawatuma kuiba.
Yaani kwa kifupi ni mbabe sana aliyemiliki vikundi hatari kwa usalama wa raia.
Japo kifo chake sijajua kimetokana na nini hasa lakini naamini Wizi umechangia kwa kiasi flani.
Nimeipokea kwa mikono miwiliSalam yangu ya asubuhi na ikufikie madam JJ
Pamoja sanaAsante
Sasa jamani hiyo helikopta waliipata wapi?1973 - Wafungwa watatu watoroka gereza la Mountjoy Prison kwa kutumia Helikopta huko nchini Ireland.
Moja kati ya mikasa ya kusisimua iliyotokea miaka ya 70.